Makala Kitaifa

MAREKANI, CUBA: MZOZO MWINGINE UNAOSUBIRI KUITIKISA DUNIA

HAVANA, CubaRAIS wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, hajaonesha unyonge, licha ya Taifa lake kuendelea kupewa presha kubwa na Rais wa Marekani, Donald Trump. Rais Trump amenukuliwa mara kadhaa akitishia kuivamia Cuba,...

LINDI YAIMARISHA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA WASH KUBORESHA AFYA ZA WANANCHI

Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Zuwena Omary, amesema mkoa huo unaendelea kunufaika na utekelezaji wa afua...

WAZIRI MKUU AWASILI ARUSHA KWA ZIARA YAKE YA KIKAZI

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amewasili mkoani Arusha kwa ziara...

BARAZA LA MADIWANI MTAMA LAKUTANA, LAPONGEZA MAFANIKIO YA MIRADI YA MAENDELEO

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama limefanya kikao chake cha robo ya tatu kwa mwaka...

VIONGOZI LONGIDO WATAKIWA KUHARAKISHA UANZISHAJI WA JUHIZINA

Viongozi wa vijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido wametakiwa kuongeza kasi ya utekelezaji wa mchakato wa kuanzisha...
spot_img

POLISI ‘WAPIGA’ BIL 1.4, CAG ATAKA WAWAJIBISHWE

RIPOTA PANORAMA SHILINGI bilioni 1.4 za mfuko wa tuzo na tozo wa Jeshi la Polisi, zimetumiwa vibaya na jeshi hilo kwa kuchepushwa na kutumiwa kwenye...

HOSPITALI MLOGANZILA VULULUVULULU, MUHIMBILI NAKO MAMBO MABAYA

RIPOTA PANORAMA HALI ni mbaya katika Hospitali ya Mloganzila. Mwenendo wa utendaji kazi siyo wa kuridhisha na katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili nako hakuna usimamizi mzuri...

OUT SEHEMU YA MAENDELEO ZANZIBAR

DK. MOHAMED OMARY MAGUO NI utamaduni wa kawaida, sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar ambazo husherehekewa kila ifikapo Januari 12 kuambatana na matukio mbalimbali ya kijamii,...

MAPINDUZI YA ZANZIBAR, KUTOWEKA KWA SHAMTE NA UHALISIA WAKE

ABBAS MWALIMU Wakati leo Zanzibar ikiadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi, si vibaya kupata picha ya hali ya Mapinduzi ya visiwa hivyo ilivyokuwa. Changamoto ilianza kwenye uchaguzi wa...

KETE ZA CCM UCHAGUZI MKUU 2025

SIMBA GEMBAGU NGW’ANA NJAMITI HEKAHEKA za uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 zimeanza. Wachambuzi na wafuatiliaji wa mambo ya siasa wanabashiri kuwa iwapo mwenendo wa sasa...

MWISHO WA SAFARI YA CCM KUELEKEA 2025

SIMBA GEMBAGU NGW’ANA NJAMITI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza mwisho wa safari yake ngumu ya miaka mitano. Safari hiyo ya jasho na damu ilianza mwaka...
spot_img