HAVANA, CubaRAIS wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, hajaonesha unyonge, licha ya Taifa lake kuendelea kupewa presha kubwa na Rais wa Marekani, Donald Trump.
Rais Trump amenukuliwa mara kadhaa akitishia kuivamia Cuba,...
RIPOTA PANORAMA
CHAMA cha Wafamasia Tanzania (PST), kimeeleza kuwa mabadiliko ya bei ya kitita cha Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF), hayataiwezesha kusimama imara.
PST kimeeleza...
DET’U KAKELAKAMBUZI
MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) umewezesha kuachiwa kwa dhamana, Mwandishi wa Habari Kazimbaya Makwega aliyekuwa akishikiliwa Kituo cha Polisi Kati...
RIPOTA PANORAMA
JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linachunguza tuhuma za kughushi mkataba wa ajira ilioingiwa baina ya Kampuni ya Jamhuri Media Limited na Mwandishi...
FLORIAN KAIZA
TANZANIA imepitia simulizi nyingi zenye kusisismua lakini hazisemwi sana kwenye vyombo vya habari hivyo vizazi vya sasa na vijavyo havijui na havitajua mambo...
*Yawaomba radhi kwa ukatili iliofanya Vita ya Majimaji
RIPOTA PANORAMA
UJERUMANI imewaangukia watanzania ikiwaomba radhi kwa ukatili iliofanya wakati wa Vita ya Majimaji iliyopiganwa kuanzia mwaka...
RIPOTA PANORAMA
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA), limetakiwa kurejesha Shilingi bilioni 1.95 ambazo ukaguzi wa matumizi yake haukuthibitika.
Aliyependekeza fedha hizo zirejeshwe ni Mdhibiti na...