Google search engine

RIPOTI MAALUM

BANDARI ZA TANZANIA JUU YA USO WA DUNIA

MAKALA MAALUMU USHINDANI wa sasa wa Bandari za Tanzania kikanda na kimataifa umeiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia katika sekta ya uchukuzi na usafirishaji. Bandari za Tanzania sasa zinatoa ushindani mkubwa...

NHC YAMWAGIA VITOFALI TAIFA – MIRADI YAPAA KAMA MOTO WA JANGWANI

MAKALA YA MTANGAZAJI KAMA kuna jambo linaloonesha maendeleo kwa macho na kuguswa moja kwa moja na maisha ya wananchi, basi ni pale unaposhuhudia majengo mapya...

CHANGAMOTO 5 ZILIZOTIKISA TANAPA 2023/2024

MAKALA YA MTANGAZAJI UFINYU wa Bajeti, uingizwaji wa mifugo kwenye Hifadhi za Taifa kinyumwe cha sheria, mabadiliko ya tabianchi, kuchelewa kupata fedha za kutekeleza miradi...

NAIBU WAZIRI MNYETI ALIVYOKAANGWA TUME YA HAKI ZA BINADAMU

RIPOTI MAALUMU (5) CHARLES MULLINDA TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, wakati ikichunguza tuhuma za Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti za...

USHAHIDI TUHUMA ZA NAIBU WAZIRI MNYETI KIELELEZO KINACHOISHI

RIPOTI MAALUMU (4) CHARLES MULLINDA MASHAHIDI 12 waliohojiwa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora iliyochunguza tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka dhidi ya...

TISS, POLISI, TAKUKURU, TRA, DPP WATAJWA SAKATA LA N/ WAZIRI MNYETI

RIPOTI MAALUMU (3) CHARLES MULLINDA NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti, akiwa Mkuu wa Mkoa (RC) wa Manyara aliunda kamati ya kuchunguza ujangili kwenye...

NAIBU WAZIRI MNYETI AKUTWA HANA MAADILI NA MVUNJA KATIBA

RIPOTI MAALUMU (2) CHARLES MULLINDA NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti ni mtovu wa maadili, anakiuka haki za binadamu na utawala bora na mvunja...

TUHUMA MIKOPO CHECHEFU ZACHAMBULIWA (1)

RIPOTA PANORAMA SAKATA la tuhuma za kuwepo mikopo chefuchefu linalohusisha baadhi ya wafanyabiashara wenye ukwasi mkubwa, kampuni zao, benki, mawakili na watumishi wa mahakama limezungumziwa...

MAJIBU YA TPA KWA BAJETI 2022/23 NA ILANI YA CCM 2020/2025

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), ni Taasisi ya Serikali iliyokasimiwa wajibu wa kusimamia utendaji na uendeshaji wa shughuli za bandari za mwambao...

EL NINO YATEPETESHA SERENGETI, WATAALAMU TANAPA WAKUNA VICHWA WAKIELEKEA UNESCO

MVUA za El Nino zinazoendelea kunyesha nchini; na ambazo hazijapata kunyesha kwenye Hifahi ya Taifa ya Serengeti kwa takriban miaka 64, zimeitepetesha na kusababisha...

KAMPENI YA KUDAI MADENI WADAIWA SUGU WA KODI YA NYUMBA NHC INAENDELEA

KAMPENI ya kudai madeni wadaiwa sugu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), yenye mambo nane muhimu inaendelea nchi nzima. NHC lilizindua kampeni hiyo Agosti,...