Google search engine

BURUDANI

NYOTA WA FILAMU WA UINGEREZA KUHAMIA ZANZIBAR

MASHIRIKA YA HABARI YA KIMATAIFA MUIGIZAJI filamu mashuhuri wa Uingereza, Idris Elba (52) (pichani hapo juu) anakusudia kuhamia Zanzibar ndani ya mitano hadi kumi ijayo. Kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji...

KUZALIWA PORINI KWA REMMY ONGALLA AKIWA NA MENO MAWILI, AGANO LA KUTONYOA NYWELE HADI KIFO CHAKE AKIWA MLOKOLE

MAKALA MAALUMU IKIWA imepita miaka 14 tangu marehemu Remmy Ongala alifariki dunia, muziki wake bado unaishi kwenye mioyo ya wapenzi wa muziki wa dansi ulimwengu...

IDRIS SULTAN ANOGESHA MSIMU WA TATU WA BRIDGERTON

JOSEPH SHALUWA STAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha ujio mpya wa tamthilia ya Bridgerton, katika onesho kabambe lililowakusanya nyota daraja la...

COBHAMS ASUQUO AGONGA KOLABO NA SAUTI SOL KWENYE VIDEO “LADY FIONA” 

JOSEPH SHALUWA MSANII maarufu nchini Nigeria, Cobhams Asuquo ameshirikiana na kundi maarufu nchini Kenya, Sauti Sol kwenye video inayokwenda kwa jina la 'Lady Fiona.' Cobhas ambaye...

OLORI AACHIA EP YA KWANZA CHINI YA DAVIDO

JOSEPH SHALUWA STAA wa muziki nchini Nigeria, Logos Olori ametoa albamu yake fupi (EP) akiwa chini ya lebo ya mwanamuziki nyota nchini humo, Davido. EP hiyo...

MR EAZI ATOA ALBAMU YAKE YA KWANZA

JOSEPH SHALUWA STAA wa Afropop, Mr Eazi ameachia albamu yake ya kwanza inayokwenda kwa jina la ‘The Evil Genius' iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu. Video za...

KISHINDO CHA AFRO B KATIKA ‘WO WO WO’ AKIWA NA RICH THE KID & RIMZEE

JOSEPH SHALUWA STAA ambaye alitambulishwa na ngoma maarufu, Afrowave 'Drogba,’ Afro B, ameachia video yake mpya ya kibao "Wo Wo Wo (Ebony)" - ikiwa ni...

STONEBWOY ADONDOSHA ‘DIMENSION’ KOLABO NA STORMZY, DAVIDO, MEREBA, SHAGGY

JOSEPH SHALUWA MSANII mahiri wa Afro - Dancehall kutoka nchini Ghana aliyesainiwa na lebo ya Def Jam Records, Stonebwoy ameachia albamu mpya ya 5th Dimension,...

PATRICIA HILLARY: KAMANDA WA JESHI, NGULI WA TAARABU ASILIA

JINA la Patricia Hillary halitasahaulika kwa urahisi katika muziki wa mahadhi ya mwambao wa Pwani unaofahamika zaidi kwa jina la taarabu asilia kutokana na...

UTATU WA KIFO CHA KANUMBA – 8

The Trinity of Steven Kanumba's Death HAMEES SUBA 0672 86 65 74 ILIPOISHIA MAJIRA ya saa sita usiku nilimpigia simu muigizaji Jacob Stephen, maarufu kwa jina la JB...

UTATU WA KIFO CHA KANUMBA – 7

The Trinity of Steven Kanumba's Death HAMEES SUBA 0672 86 65 74 ILIPOISHIA SIKU ya tatu tangu kurushwa kwa kipindi kile ndipo nilipokuja kumpata Kanumba baada ya kumpigia...