Uncategorized
MEYA MAXMILIAN IRANQHE AKUTANA NA WADAU WA USAFI JIJINI ARUSHA
Meya wa Jiji la Arusha, Mhe. Maxmillian Iranqhe, amefanya kikao kazi kilichowakutanisha Maafisa Afya kutoka kata zote 25, wakandarasi wa huduma ya uzoaji taka pamoja na mawakala wa ukamataji...
Habari Kitaifa
TUME YAKUTANA NA MMILIKI MABASI YA ESTHER
DAR ES SALAAM
TUME ya kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, Februari 28 imekutana na...
Uncategorized
DRC YASHANGAZWA NA UBORA WA MATIBABU MUHIMBILI
DAR ES SALAAM
GAVANA wa Jimbo la Maniema, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Moise Kabwankubi ameongoza ujumbe wa nchi hiyo kuzuru Hospitali ya Taifa...
Uncategorized
KANISA KONGWE ZAIDI TANZANIA LIMEBEBA HISTORIA KUBWA
https://www.youtube.com/watch?v=5704Nx98r5A
MICHEZO
KOCHA ALIYEKUFUZWA YANGA, AOMBA KURUDI
KOCHA mkuu wa zamani wa Yanga, Mbelgiji Tom Saintfiet, ni miongoni mwa makocha watano walioomba kibarua cha kuifundisha timu hiyo, kwa ajili ya msimu...
Uncategorized
BEKI ALIYEWINDWA SIMBA KUTUA AZAM
KLABU ya Azam inatarajia kukamilisha usajili wa beki wa kati wa timu ya Coastal Union, Lameck Lawi, kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi...
MICHEZO
YANGA YATAJWA KUSAJILI WAKALI WATANO
Beki wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Bakari Malima, 'Jembe Ulaya', amesema klabu yake inatakiwa kusajili wachezaji wapya watano kwa ajili ya msimu...
HABARI
BALOZI MATINYI AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA MFALME WA SWEDEN
Mteule wa Rais Samia Suluhu Hassan na Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi, amewasilisha rasmi Hati za Utambulisho kwa Mfalme Carl XVI...
Uncategorized
WAINGEREZA WAKARIBISHWA KUWEKEZA NISHATI JADIDIFU
RIPOTA MAALUMU
KAMPUNI za Uingereza zimearikwa kuja nchini kuwekeza kwenye Sekta ya Nishati husasn nishati jadidifu.
Ukaribisho huo umetolewa hivi karibuni na Katibu Mkuu wa Wizara...
Uncategorized
VITONGOJI 135 PWANI KUPATA UMEME
MOHAMED SAIF
VITONGOJI 135 vya Mkoa wa Pwani vipo mbioni kupata huduma ya umeme baada ya kupatikana kwa mkandarasi wa kutekeleza mradi wa usambazaji umeme...
Uncategorized
DAR ES SALAAM MPYA YA 711 KAWE YAJA 2026
MAKALA YA MTANGAZAJI
TASWIRA ya Jiji la Dar es Salaam itabadilika kabisa ifikapo April, 2026 baada ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa nyumba za...

