bao pekee lililowekwa kimiani na Granit Xhaka katikati ya kipindi cha pili, limeiwezesha Arsenal kuendelea na moto wake wa kufanya vizuri katika michuano mbalimbali wanayoshiriki msimu huu, baada…
Bado ni mapema sana kwani ligi yenyewe ndio kwanza iko katika mzunguko wa 10, lakini kile kinachoendelea katika ligi hiyo hivi sasa, hususan kileleni mwa msimamo wa ligi…
Nahodha wa zamani wa Arsenal, ambaye hivi sasa ni meneja wa klabu ya soka ya Cristal palace, Patrick Viera, ameelezea kufurahishwa kwake na mchango wa mshambuliaji mwenye asili…