SERIKALI YATOA TAMKO MKUTANO WA SHIRIKA LA MAKAZI DUNIANI
RIPOTA PANORAMA Nairobi, Kenya SERIKALI imesema kuwa imeongeza kasi ya kuboresha miundombinu, makazi na huduma za jamii kwenye maeneo ya mijini na vijijini ili kuwawezesha watu wote kuishi…
Mkusanyiko wa habari
RIPOTA PANORAMA Nairobi, Kenya SERIKALI imesema kuwa imeongeza kasi ya kuboresha miundombinu, makazi na huduma za jamii kwenye maeneo ya mijini na vijijini ili kuwawezesha watu wote kuishi…
RIPOTA PANORAMA Nairobi, Kenya TANZANIA, kesho itatoa tamko kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Shirika la Makazi la Umoja wa Mataifa (UN-HABITAT) kuhusu hatua inazochukua kukabiliana na changamoto za makazi…
RIPOTA PANORAMA Nairobi, Kenya MKUTANO Mkuu wa Shirika la Makazi duniani (UN – HABITAT) unaanza kesho jijini Nairobi, Kenya ukiwa na kauli mbiu isemayo hatma ya miji endelevu…
Vatican RAIS wa Ukraine, Vlodymyr Zelensky, Jumamosi ya Mei 13, 2023 aliingia makao makuu ya Kanisa Katoliki duniani, Vatican akitumia gari la kivita na kufanya mazungumzo ya faragha…
MASHIRIKA YA HABARI YA KIMATAIFA PAUL Nthenge Mackenzie, Kasisi wa dhehebu la Kikristu nchini Kenya anayeongoza Kanisa la Good News International, mahubiri yake kwa maelfu ya watu waliojisali…
RIPOTA MAALUMU IMEELEZWA kuwa wachungaji wa madhehebu ya dini wana nguvu ya ushawishi dhidi ya wafuasi wao kwa sababu huwa wanajifunza mbinu za kutumia kuwakusanya katika makanisa yao.…
MASHIRIKA YA HABARI YA KIMATAIFA WATU 130 waliofariki dunia baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha siku ya Mei 4, usiku katika mikoa ya Magharibi…
GENEVA, Uswisi KAMPUNI ya masuala ya usalama ya SICPA inayofanya kazi katika maeneo mbalimbali duniani, imehukumiwa kulipa Dola za Marekani milioni 90.6 baada ya kutiwa hatiani na mahakama…
RIPOTA PANORAMA Moshi, Kilimanjaro JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linafuatilia taarifa za kuwepo watumiaji na wauza wa dawa kulevya, pamoja na watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia…
Florida, Marekani RAIS wa zamani wa Marekani, Donald Trump ametangaza kuwania tena nafasi ya urais wa nchi hiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika 2024. Trump alitangaza nia yake hiyo…