Google search engine
Tag:

MCHOKONOZI

WAKO WAPI MAKACHERO WA KESI YA UNGA YA HARIRI NA MUNA

CHARLES MULLINDA SERIKALI imeshindwa. Imeshindwa kesi mahakamani. Imeshindwa na mfanyabiashara Mohamedi Hariri na mkewe Muna Said, waliokuwa wakishtakiwa kwa kosa la kukutwa na dawa za...

JINA LA TUNDU LISSU LINAPOANDIKWA KATIKA KITABU CHA HUKUMU

 NA CHARLES MULLINDA  KWA mara nyingine, historia ya siasa za Tanzania inaandikwa upya baada ya jina la Tundu Lissu kuchomekwa katika kitabu cha hukumu...

HISTORIA INAPOMTANGULIZA LISSU MBELE YA KIVULI CHA URAIS WA DHAMBI

NA CHARLES MULLINDA HISTORIA, licha ya kuwa mwalimu mzuri ina tabia ya kujirudia. Matukio mengi, mazuri na mabaya yaliyopata kutokea na yanayotokea sasa yamo katika...

TUNAPIGWA, TUJIFICHE HANDAKINI UFIPA

 Rais John MagufuliCHARLES MULLINDA                                         ...

RAIS POMBE ANA JESHI LA KALE

Rais MagufuliRAIS John Pombe anaweza kushindwa. Anaweza kushindwa kupata mafanikio ya kuridhisha katika mapambano dhidi ya ufisadi kwa sababu jeshi lake lina wapiganaji...

KESHO TUTACHEKWA PAMOJA NA KIKWETE

KILA ninaipoitazama Tanzania ya kesho ninawaona watoto wa watoto wetu wakitucheka kwa kushindwa kuiishi misingi ya utawala bora, kutofuata sheria za nchi, wanasiasa kuendekeza...

HISTORIA IANDIKWE UPYA SASA (1)

NI jambo la bahati mbaya sana kwamba wapo baadhi ya watu ambao husoma maandishi ya kichokonozi bila kuyaelewa na wapo pia wengine ambao husoma...

ROHO IMEKUFA MWILI UNAISHI

 MullindaNIMEFIKISHIWA ujumbe wa kienyeji kuwa watu wanaojeruhi wenzao kwa vitu vyenye ncha kali hawafurahishwi na maandishi yangu. Ujumbe huo niliofikishiwa unaeleza kuwa maandishi yangu...