BIASHARA NA UCHUMI
MWELEKEO SAHIHI TRC
MAKALA YA MTANGAZAJI
UKURASA mpya wa Tanzania kuelekea mafanikio ya kibiashara na kuwa na miundombinu ya uhakika katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, umefunguliwa na Shirika la Reli Tanzania...
BIASHARA NA UCHUMI
HAZINA YA DHAHABU BoT KUPANDISHA THAMANI YA SARAFU
RIPOTA PANORAMA
SARAFU ya Tanzania inatarajiwa kupanda thamani baada ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kuanza kununua na kuhifadhi dhahabu inayozalishwa hapa nchini.
Hayo yameelezwa na...
BIASHARA NA UCHUMI
SERA ZA FEDHA ZACHOCHEA UKOPAJI SEKTA BINAFSI
RIPOTA PANORAMA
UTEKELEZA wa sera za fedha na mpango wa Serikali kuboresha mazingira ya biashara, vimechochea kuongozeka kwa mikopo katika sekta binafsi ambayo sasa imefikia...
BIASHARA NA UCHUMI
2023 ‘FUKO LA FEDHA’ KUKUSANYA USD BIL 85.4
RIPOTA PANORAMA
UCHUMI wa Tanzania unatarajiwa kukua hadi kufikia Dola za Marekani bilioni 85.5 mwaka 2023.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu...
BIASHARA NA UCHUMI
WANAOISHI CHINI YA MSTARI WA UMASIKINI ULIOKITHIRI, WAKILA ELFU 33 KWA MWEZI WAPUNGUA
RIPOTA PANORAMA
ASILIMIA 8 ya Watanzania wanaishi chini ya umasikini uliokithiri, wakitumia chini ya Shilingi 33,748 kwa mwezi kwa mahitaji ya chakula cha mtu mzima.
Kwa upande wa...
BIASHARA NA UCHUMI
SURA YA BAJETI YA TANZANIA 2023/24
RIPOTA PANORAMA
SURA ya Bajeti ya Serikali ya Tanzania kwa mwaka wa fedha 2023/24, inaonyesha kuwa mapato ya ndani yatakayokusanywa na Mamlaka ya Mapato (TRA)...
BIASHARA NA UCHUMI
2023/24 – BAJETI YA KUJITEGEMEA KWA ASILIMIA 70
RIPOTA PANORAMA
TANZANIA itajitegemea kwa asilimia 70 katika bajeti yake ya mwaka wa fedha 2023/24 inayotarajiwa kuwa Shilingi trilioni 44.39.
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk....
BIASHARA NA UCHUMI
SERIKALI YATOA KAULI BENKI YAKE KUTOKAGULIWA NA CAG
RIPOTA PANORAMA
SERIKALI imesema Benki ya Biashara ya DCB inayoimiliki; hesabu zake hazijapata kukaguliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kwa...
BIASHARA NA UCHUMI
MIAKA 20 BENKI YA SERIKALI HAIJAKAGULIWA NA CAG
RIPOTA PANORAMA
BENKI ya Biashara ya DCB ya jijini Dar es Salaam ambayo Serikali ndiye mwanahisa mkubwa ikimiliki asilimia 63 ya mtaji wote, kwa takribani miaka...
BIASHARA NA UCHUMI
SYMBION MASWALI LUKUKI
RIPOTA PANORAMA
SAKATA linalotokota chini kwa chini kwa muda mrefu sasa linalohusu Kampuni ya Symbion Power LLC kulipwa na Serikali, Shilingi bilioni 350 huku ikiwa...
BIASHARA NA UCHUMI
TRA- HAKUNA KODI KUSAFIRISHA MAZAO YA CHAKULA NJE YA NCHI
RIPOTA PANORAMA
MAMLAKA ya Mapato (TRA) imesema mazao ya chakula yanayosafirishwa kutoka nchini kwenda kuuzwa nje ya nchi hayatozwi kodi ya aina yoyote na mamlaka...

