Google search engine

Habari Kimataifa

MCHUNGAJI, BIBI HARUSI WATEKWA NYARA

Nigeria MCHUNGAJI na bibi harusi ni miongoni mwa watu takriban 20 waliotekwa nyara siku ya jumapili nchini Nigeria. Kwa mujibu wa mashirika ya habari ya nchini humo, watru hao walitekwea nyara...

RAIS KABILA ADAIWA SI MTOTO WA RAIS KABILA

Kinshasa DRC BAADHI ya maafisa wa Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), waibua madai kuwa rais wa mstaafu wa nchi hiyo, Joseph Kabila...

CHAKULA CHANUNULIWA KWA TAKA ZA PLASTIKI

MASHIRIKA YA HABARI YA KIMATAIFA TAKA za plastiki sasa zinatumika kununua chakula kwenye migahawa nchini India. Kwa mujibu wa mashirika ya habari ya kimataifa, manunuzi ya chakula...

BALOZI MATINYI AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA MFALME WA SWEDEN

Mteule wa Rais Samia Suluhu Hassan na Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi, amewasilisha rasmi Hati za Utambulisho kwa Mfalme Carl XVI...

SAM NUJOMA AFARIKI DUNIA

RIPOTA PANORAMA RAIS wa kwanza wa Namibia, Sam Nujoma amefariki duniani leo akiwa na umri wa miaka 95. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ikulu ya...

NANDI NDAITWAH RAIS WA KWANZA MWANAMKE NAMIBIA

MASHIRIKA YA HABARI MAKAMU wa Rais wa Namibia, Netumbo Nandi Ndaitwah ametangazwa mshindi wa nafasi ya Rais nchini Namibia kwa kupata asilimia 57 ya kura...

ISRAEL YAMTISHA KIONGOZI MPYA WA HEZBOLLAH

MASHIRIKA YA KIMATAIFA WAZIRI wa Ulinzi wa Israel, Yoav Gallant ametuma ujumbe kwenye mtandao wa X unaoeleza kuwa uteuzi wa kiongozi mpya wa kundi la...

MADAKTARI WASAIDIA KUFA MUME NA MKE

WANANDOA Jan aliyekuwa na umri wa miaka 70 na Els   aliyekuwa na umri wa miaka 71 wamefariki dunia mapema mwezi Juni, 2024 baada ya...

MTUNZA FUNGUO ZA AL – KAABA AFARIKI DUNIA

MASHIRIKA YA HABARI YA KIMATAIFA MTUNZA funguo za eneo takatifu kwa waumini wa dini ya kiislamu, Dk. Saleh bin Zainul Abedin Al Shebi amefariki dunia...

PAPA AHUBIRI UMOJA, AKATAA UNAJISI

Vatican PAPA wa Kanisa Katoliki ambaye ni Askofu wa Roma, Papa Fransisco amewataka waumini wa Kanisa Katoliki kuishi katika umoja na kutotengana kwa sababu ya...

ZUMA AHUKUMIWA

MASHIRIKA YA HABARI YA KIMATAIFA RAIS wa zamani wa Afrika ya Kusini, Jacob Zuma amezuiwa na Mahakama ya Juu ya Kikatiba ya nchi hiyo kugombea...