{"id":9671,"date":"2026-04-16T14:17:57","date_gmt":"2026-04-16T14:17:57","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=9671"},"modified":"2026-04-16T14:18:02","modified_gmt":"2026-04-16T14:18:02","slug":"kane-aweka-rekodi-akiipeleka-bayern-nusu-fainali-ulaya","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=9671","title":{"rendered":"KANE AWEKA REKODI AKIIPELEKA BAYERN NUSU FAINALI ULAYA"},"content":{"rendered":"\n<p>MUNICH, Ujerumani<br>STRAIKA wa Bayern Munich, Harry Kane, amekuwa mchezaji wa kwanza raia wa England kufikisha mabao 12 katika msimu mmoja wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.<\/p>\n\n\n\n<p>Kane aliweka rekodi hiyo jana Aprili 15, 2026 alipofunga moja wakati Bayern ikiitandika Real Madrid mabao 4-3 na kutinga nusu fainali ya mashindano hayo.<\/p>\n\n\n\n<p>Mchezo huo ulikuwa ni wa robo fainali ya pili baada ya ule wa kwanza uliochezwa Hispania kumalizika kwa Bayern kushinda mabao 2-1.<\/p>\n\n\n\n<p>Kwa msimu huu pekee, Kane ameshaingia wavuni mara 50 katika mechi 42 za mashindano mbalimbali alizocheza akiwa na Bayern.<\/p>\n\n\n\n<p>Msimu wa 2024-25, nyota huyo wa zamani wa Tottenham aliweka rekodi ya kuwa Muingereza wa kwanza kufunga mabao 11 katika msimu mmoja wa Ligi ya Mabingwa.<\/p>\n\n\n\n<p><strong><em>Imeandaliwa na Hassan Mwasha<\/em><\/strong><\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>MUNICH, UjerumaniSTRAIKA wa Bayern Munich, Harry Kane, amekuwa mchezaji wa kwanza raia wa England kufikisha mabao 12 katika msimu mmoja wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kane aliweka rekodi hiyo jana Aprili 15, 2026 alipofunga moja wakati Bayern ikiitandika Real Madrid mabao 4-3 na kutinga nusu fainali ya mashindano hayo. Mchezo huo ulikuwa ni [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":9672,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","footnotes":""},"categories":[215],"tags":[],"coauthors":[201],"class_list":{"0":"post-9671","1":"post","2":"type-post","3":"status-publish","4":"format-standard","5":"has-post-thumbnail","7":"category-michezo-kimataifa"},"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9671","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=9671"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9671\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":9673,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9671\/revisions\/9673"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/9672"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=9671"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=9671"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=9671"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=9671"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}