{"id":9656,"date":"2026-04-16T14:03:39","date_gmt":"2026-04-16T14:03:39","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=9656"},"modified":"2026-04-16T14:03:44","modified_gmt":"2026-04-16T14:03:44","slug":"iran-yakamata-wapelelezi-wa-israel","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=9656","title":{"rendered":"IRAN YAKAMATA WAPELELEZI WA ISRAEL"},"content":{"rendered":"\n<p>TEHRAN, Iran<br>IMERIPOTIWA kuwa Iran inawashikilia watu wanne waliowataja kuwa ni wapelelezi wa Israel.<\/p>\n\n\n\n<p>Taarifa hiyo inakuja wakati huu wawakilisi wa Marekani wakiangalia uwezekano wa kukaa tena mezani na Iran ili kusaka suluhu ya mgogoro unaoendelea.<\/p>\n\n\n\n<p>Ikumbukwe, mazungumzo ya siku chache zilizopita mjini Islamabad, Pakistan, hayakuzaa matunda baada ya pande zote mbili kuondoka pasi na kufikia makubaliano.<\/p>\n\n\n\n<p>Kumekuwapo na machafuko makubwa Mashariki ya Kati tangu vikosi vya kijeshi vya Marekani na Israel vilipoungana kuishambulia Iran wiki sita zilizopita.<\/p>\n\n\n\n<p>Juu ya kukamatwa kwa watu wanne hao, Shirika la Habari la Iran, IRNA, limedai kuwa wameshakabidhiwa kwa mamlaka ili hatua zaidi ziweze kuchukuliwa.<\/p>\n\n\n\n<p>\u201cWanaoshikiliwa wamekuwa wakiipatia Mossad (Shirika la ujasusi la Israel) picha za maeneo nyeti ya kambi za kijeshi (za Iran) kupitia mitandao,&#8221; imeeleza taarifa ya IRNA.<\/p>\n\n\n\n<p><strong><em>Imeandaliwa na Hassan Mwasha<\/em><\/strong><\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>TEHRAN, IranIMERIPOTIWA kuwa Iran inawashikilia watu wanne waliowataja kuwa ni wapelelezi wa Israel. Taarifa hiyo inakuja wakati huu wawakilisi wa Marekani wakiangalia uwezekano wa kukaa tena mezani na Iran ili kusaka suluhu ya mgogoro unaoendelea. Ikumbukwe, mazungumzo ya siku chache zilizopita mjini Islamabad, Pakistan, hayakuzaa matunda baada ya pande zote mbili kuondoka pasi na kufikia [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":9657,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","footnotes":""},"categories":[74],"tags":[],"coauthors":[201],"class_list":{"0":"post-9656","1":"post","2":"type-post","3":"status-publish","4":"format-standard","5":"has-post-thumbnail","7":"category-habari-kimataifa"},"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9656","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=9656"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9656\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":9658,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9656\/revisions\/9658"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/9657"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=9656"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=9656"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=9656"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=9656"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}