{"id":9653,"date":"2026-04-16T14:01:10","date_gmt":"2026-04-16T14:01:10","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=9653"},"modified":"2026-04-16T14:01:14","modified_gmt":"2026-04-16T14:01:14","slug":"dangote-trump-watajwa-watu-wenye-ushawishi-zaidi-duniani","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=9653","title":{"rendered":"DANGOTE, TRUMP WATAJWA WATU WENYE USHAWISHI ZAIDI DUNIANI"},"content":{"rendered":"\n<p>WASHINGTON DC, Marekani<br>MFANYABIASHARA maarufu Afrika, Aliko Dangote, ni miongoni mwa watu 100 wenye ushawishi duniani, kwa mujibu wa ripoti ya mwaka 2026 ya Jarida la TIME.<\/p>\n\n\n\n<p>Mbali ya bilionea huyo raia wa Nigeria, wengine walioingia kwenye orodha ya watu 100 wenye ushawishi ni Rais wa Marekani, Donald Trump, Xi Jinping wa China, na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu.<\/p>\n\n\n\n<p>Wengine ni Waziri Mkuu wa Canada, Mark Carney, na Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV.<\/p>\n\n\n\n<p>Kwa Dangote, hii inakuwa mara yake ya pili kutambuliwa na TIME kama miongoni mwa watu 100 wenye ushawishi duniani.<\/p>\n\n\n\n<p>Ikumbukwe, tajiri huyo aliingia kwa mara ya kwanza katika ripoti yao ya mwaka 2014 kwa mchango mkubwa alionao kwenye sekta ya biashara.<\/p>\n\n\n\n<p>Dangote anafahamika kwa uwekezaji wake mkubwa katika uchakataji wa bidhaa za chakula, kilimo, miundombinu na nishati.<\/p>\n\n\n\n<p>Pia, kupitia Taasisi yake ya Aliko Dangote, amekuwa akitumia fedha zake kusaidia sekta za afya, elimu na kuyawezesha kiuchumi makundi mbalimbali katika jamii.<\/p>\n\n\n\n<p><strong><em>Imeandaliwa na Hassan Mwasha<\/em><\/strong><\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>WASHINGTON DC, MarekaniMFANYABIASHARA maarufu Afrika, Aliko Dangote, ni miongoni mwa watu 100 wenye ushawishi duniani, kwa mujibu wa ripoti ya mwaka 2026 ya Jarida la TIME. Mbali ya bilionea huyo raia wa Nigeria, wengine walioingia kwenye orodha ya watu 100 wenye ushawishi ni Rais wa Marekani, Donald Trump, Xi Jinping wa China, na Waziri Mkuu [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":9654,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","footnotes":""},"categories":[68],"tags":[],"coauthors":[201],"class_list":{"0":"post-9653","1":"post","2":"type-post","3":"status-publish","4":"format-standard","5":"has-post-thumbnail","7":"category-habari"},"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9653","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=9653"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9653\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":9655,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9653\/revisions\/9655"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/9654"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=9653"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=9653"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=9653"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=9653"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}