{"id":9629,"date":"2026-04-16T13:42:29","date_gmt":"2026-04-16T13:42:29","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=9629"},"modified":"2026-04-16T13:42:32","modified_gmt":"2026-04-16T13:42:32","slug":"kipchoge-asikitika-tottenham-kukaribia-kushuka-daraja","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=9629","title":{"rendered":"KIPCHOGE ASIKITIKA TOTTENHAM KUKARIBIA KUSHUKA DARAJA"},"content":{"rendered":"\n<p>CAPE TOWN, Afrika Kusini<\/p>\n\n\n\n<p>MWANARIADHA wa mbio ndefu raia wa Kenya, Eliud Kipchoge, ameeleza kuumizwa kwake na kitendo cha Tottenham kuwa hatarini kushuka daraja msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL).<\/p>\n\n\n\n<p>Klabu hiyo ya Kaskazini mwa London iko kwenye wakati mgumu, ikishika nafasi ya 18 kwenye msimamo wa Ligi hiyo ya timu 20.<\/p>\n\n\n\n<p>Kipchoge amekuwa shabiki wa Tottenham kwa miaka mingi, ikikumbukwa kuwa aliwahi kutembelea makao makuu ya klabu hiyo mara mbili (2018 na 2019).<\/p>\n\n\n\n<p>Itakumbukwa kuwa alifanya ziara hiyo wakati huo Mkenya mwenzake, Victor Wanyama, akiwa mchezaji wa Tottenham.<\/p>\n\n\n\n<p>&#8220;Mimi bado ni shabiki wa Tottenham. Tunapitia kipindi kigumu. Tuko kati ya timu tatu zilizo kwenye mstari wa kushuka daraja. Sijui kama tutanusurika,&#8221; amesema.<\/p>\n\n\n\n<p><strong><em>Imeandaliwa na Hassan Mwasha<\/em><\/strong><\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>CAPE TOWN, Afrika Kusini MWANARIADHA wa mbio ndefu raia wa Kenya, Eliud Kipchoge, ameeleza kuumizwa kwake na kitendo cha Tottenham kuwa hatarini kushuka daraja msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL). Klabu hiyo ya Kaskazini mwa London iko kwenye wakati mgumu, ikishika nafasi ya 18 kwenye msimamo wa Ligi hiyo ya timu 20. Kipchoge [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":9630,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","footnotes":""},"categories":[215],"tags":[],"coauthors":[201],"class_list":{"0":"post-9629","1":"post","2":"type-post","3":"status-publish","4":"format-standard","5":"has-post-thumbnail","7":"category-michezo-kimataifa"},"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9629","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=9629"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9629\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":9631,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9629\/revisions\/9631"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/9630"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=9629"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=9629"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=9629"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=9629"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}