{"id":9327,"date":"2026-04-10T13:06:31","date_gmt":"2026-04-10T13:06:31","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=9327"},"modified":"2026-04-10T13:06:34","modified_gmt":"2026-04-10T13:06:34","slug":"matonya-aachiwa-kwa-dhamana-kesi-ya-ubakaji-nchini-kenya","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=9327","title":{"rendered":"MATONYA AACHIWA KWA DHAMANA KESI YA UBAKAJI NCHINI KENYA"},"content":{"rendered":"\n<p><strong><em>NAIROBI, Kenya<\/em><\/strong><\/p>\n\n\n\n<p>STAA wa Bongo Fleva, Seif Shabani Matonya maarufu kama Matonya, ameachiwa kwa dhamana kufuatia mashitaka ya ubakaji yanayomkabili nchini Kenya.<\/p>\n\n\n\n<p>Msanii huyo anadaiwa kutenda kosa hilo Jumanne ya wiki hii katika jengo lililopo eneo la Nyali, pwani ya mji wa Mombasa.<\/p>\n\n\n\n<p>Matonya, mwenye umri wa miaka 43, alifikishwa mahakamani mjini Mombasa ambapo alikana mashitaka hayo, kwa mujibu wa taarifa kutoka Ofisi ya Mwendesha Mashitaka wa Kenya.<\/p>\n\n\n\n<p>Kwa mujibu wa taarifa hiyo, aliachiwa kwa dhamana baada ya kulipa kiasi cha sh 500,000 za Kenya sawa na sh. milioni 10 huku akitakiwa kuwasilisha hati yake ya kusafiria mahakamani kama sehemu ya masharti ya dhamana.<\/p>\n\n\n\n<p>Matonya alianza kujizolea umaarufu zaidi ya miaka 15 iliyopita, akitambulika kupitia nyimbo zake maarufu kama Vaileti, Anita, Siamini, Taxi Bubu na Mapito.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>NAIROBI, Kenya STAA wa Bongo Fleva, Seif Shabani Matonya maarufu kama Matonya, ameachiwa kwa dhamana kufuatia mashitaka ya ubakaji yanayomkabili nchini Kenya. Msanii huyo anadaiwa kutenda kosa hilo Jumanne ya wiki hii katika jengo lililopo eneo la Nyali, pwani ya mji wa Mombasa. Matonya, mwenye umri wa miaka 43, alifikishwa mahakamani mjini Mombasa ambapo alikana [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":9328,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","footnotes":""},"categories":[88],"tags":[],"coauthors":[201],"class_list":{"0":"post-9327","1":"post","2":"type-post","3":"status-publish","4":"format-standard","5":"has-post-thumbnail","7":"category-burudani"},"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9327","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=9327"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9327\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":9329,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9327\/revisions\/9329"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/9328"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=9327"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=9327"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=9327"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=9327"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}