{"id":9288,"date":"2026-04-10T10:24:31","date_gmt":"2026-04-10T10:24:31","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=9288"},"modified":"2026-04-10T10:24:34","modified_gmt":"2026-04-10T10:24:34","slug":"ugaidi-watikisa-uchaguzi-mkuu-benin","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=9288","title":{"rendered":"UGAIDI WATIKISA UCHAGUZI MKUU BENIN"},"content":{"rendered":"\n<p><strong><em>PORTO-NOVO, Benin<\/em><\/strong><\/p>\n\n\n\n<p>HOFU ya mashambulizi ya kigaidi imeendelea kutanda nchini Benin wakati wananchi wakijiandaa kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Aprili 12, 2026.<\/p>\n\n\n\n<p>Raia wa nchi hiyo wanatarajiwa kumchagua rais mpya atakayechukua nafasi ya kiongozi wa sasa, Patrice Talon.<\/p>\n\n\n\n<p>Uchaguzi huo unafanyika katika mazingira ya taharuki, ikiwa ni miezi minne tu tangu jaribio la mapinduzi kutofanikiwa, baadhi ya maofisa wa jeshi walidaiwa kupanga njama za kuipindua Serikali.<\/p>\n\n\n\n<p>Katika hatua za kurejesha hali ya utulivu, Nigeria iliripotiwa kupeleka ndege za kivita kusaidia kudhibiti hali hiyo.<\/p>\n\n\n\n<p>Wakati huo huo, ukanda wa Afrika Magharibi unaendelea kukumbwa na changamoto za kiusalama, huku nchi jirani za Niger, Burkina Faso na Mali zikiwa chini ya tawala za kijeshi.<\/p>\n\n\n\n<p>Hali hiyo imezidisha wasiwasi wa usalama, hasa baada ya kundi la kigaidi lenye uhusiano na Al-Qaeda, JNIM, kufanya shambulizi mwezi uliopita katika kambi ya jeshi na kuua watu 15.<br><\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>PORTO-NOVO, Benin HOFU ya mashambulizi ya kigaidi imeendelea kutanda nchini Benin wakati wananchi wakijiandaa kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Aprili 12, 2026. Raia wa nchi hiyo wanatarajiwa kumchagua rais mpya atakayechukua nafasi ya kiongozi wa sasa, Patrice Talon. Uchaguzi huo unafanyika katika mazingira ya taharuki, ikiwa ni miezi minne tu tangu jaribio la mapinduzi kutofanikiwa, [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":9289,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","footnotes":""},"categories":[74],"tags":[],"coauthors":[201],"class_list":{"0":"post-9288","1":"post","2":"type-post","3":"status-publish","4":"format-standard","5":"has-post-thumbnail","7":"category-habari-kimataifa"},"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9288","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=9288"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9288\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":9290,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9288\/revisions\/9290"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/9289"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=9288"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=9288"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=9288"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=9288"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}