{"id":9175,"date":"2026-04-09T09:45:09","date_gmt":"2026-04-09T09:45:09","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=9175"},"modified":"2026-04-09T09:45:15","modified_gmt":"2026-04-09T09:45:15","slug":"kigogo-caf-aponda-morocco-kupewa-ubingwa-afcon-2025","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=9175","title":{"rendered":"KIGOGO CAF APONDA MOROCCO KUPEWA UBINGWA AFCON 2025"},"content":{"rendered":"\n<p><strong><em>CAIRO, Misri<\/em><\/strong><\/p>\n\n\n\n<p>MAKAMU wa Rais wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Faustino Varela Monteiro, ameibuka na kusema haungi mkono uamuzi wa kuipa Morocco taji la fainali za AFCON 2025.<\/p>\n\n\n\n<p>Wiki chache zilizopita, CAF iliiadhibu Senegal kwa kuipokonya ubingwa, licha ya kwamba iliifunga Morocco bao 1-0 katika mchezo wa fainali.<\/p>\n\n\n\n<p>Senegal walipewa adhabu hiyo kwa kile kilichotokea siku ya fainali, Januari 18, 2026, ambapo wachezaji wake walitishia kugomea mchezo baada ya kutokukubaliana na penalti waliyopewa Morocco.<\/p>\n\n\n\n<p>Siku chache zilizopita, Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) ilithibitisha kupokea barua ya Senegal ikilalamikia hukumu hiyo ya CAF.<\/p>\n\n\n\n<p>Kwa upande wake, Faustino Monteiro amesema: &#8220;Sikubaliani na uamuzi wa kuivua ubingwa Senegal na kuipa Morocco.&#8221;<\/p>\n\n\n\n<p>Akijenga hoja yake, amesema hata kama wachezaji wa Senegal walifanya kosa, bado halikuzia mchezo kuendelea, hivyo matokeo ya uwanjani yanapaswa kuheshimiwa.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>CAIRO, Misri MAKAMU wa Rais wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Faustino Varela Monteiro, ameibuka na kusema haungi mkono uamuzi wa kuipa Morocco taji la fainali za AFCON 2025. Wiki chache zilizopita, CAF iliiadhibu Senegal kwa kuipokonya ubingwa, licha ya kwamba iliifunga Morocco bao 1-0 katika mchezo wa fainali. Senegal walipewa [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":9176,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","footnotes":""},"categories":[79,215],"tags":[],"coauthors":[201],"class_list":{"0":"post-9175","1":"post","2":"type-post","3":"status-publish","4":"format-standard","5":"has-post-thumbnail","7":"category-michezo","8":"category-michezo-kimataifa"},"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9175","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=9175"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9175\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":9177,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/9175\/revisions\/9177"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/9176"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=9175"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=9175"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=9175"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=9175"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}