{"id":6771,"date":"2025-04-10T12:52:36","date_gmt":"2025-04-10T12:52:36","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=6771"},"modified":"2025-04-10T12:52:40","modified_gmt":"2025-04-10T12:52:40","slug":"jeshi-la-uhifadhi-ladhibiti-fisi","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=6771","title":{"rendered":"JESHI LA UHIFADHI LADHIBITI FISI"},"content":{"rendered":"\n<p><strong><em>ZERUBABEL CHUMA<\/em><\/strong><\/p>\n\n\n\n<p>KIKOSI maalumu chenye askari 27 kutoka taasisi zinazounda Jeshi la Uhifadhi kimewadhibiti fisi waharibifu 25 waliokuwa wakihatarisha usalama wa wananchi wa Mkoa wa Simuyu.<\/p>\n\n\n\n<p>Mkurugenzi wa Kitengo cha Uratibu wa Jeshi la Uhifadhi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACC), Fidelis Kapalata amewaambia waandishi wa habari kuwa kudhibitiwa kwa fisi hao ni hatua za makusudi zinazochukuliwa na Wizara ya Maliasili na Utalii za kukabiliana na wanyama waharibifu.<\/p>\n\n\n\n<p><\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-large\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"1024\" height=\"683\" src=\"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/60a09c3e-cf83-4ced-a907-9fd6489d8c87-1024x683.jpg\" alt=\"\" class=\"wp-image-6773\" srcset=\"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/60a09c3e-cf83-4ced-a907-9fd6489d8c87-1024x683.jpg 1024w, https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/60a09c3e-cf83-4ced-a907-9fd6489d8c87-300x200.jpg 300w, https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/60a09c3e-cf83-4ced-a907-9fd6489d8c87-768x512.jpg 768w, https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/60a09c3e-cf83-4ced-a907-9fd6489d8c87-150x100.jpg 150w, https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/60a09c3e-cf83-4ced-a907-9fd6489d8c87-600x400.jpg 600w, https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/60a09c3e-cf83-4ced-a907-9fd6489d8c87-696x464.jpg 696w, https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/60a09c3e-cf83-4ced-a907-9fd6489d8c87-1068x712.jpg 1068w, https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/60a09c3e-cf83-4ced-a907-9fd6489d8c87-630x420.jpg 630w, https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/60a09c3e-cf83-4ced-a907-9fd6489d8c87.jpg 1116w\" sizes=\"auto, (max-width: 1024px) 100vw, 1024px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p><strong><em>Mkurugenzi wa Kitengo cha Uratibu wa Jeshi la Uhifadhi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACC) Fidelis Kapalata.<\/em><\/strong><\/p>\n\n\n\n<p>Akizungumza na waandishi wa habari jana mkoani Dodoma, Kapalata alisema Wizara ya Maliasili na Utalii imeongeza nguvu za kukabiliana na wanyama wakali na waharibifu na hasa fisi ambao wamekuwa wakiwasumbua wananchi katika maeneo mbalimbali nchini.<\/p>\n\n\n\n<p>Alisema kazi ya kukabiliana na wanyama wakali na waharifu wanaoingia kwenye makazi ya watu imefanywa na kikosi maalumu cha Jeshi la Uhifadhi kikishirikiana na Serikali za Halmashauri za Wilaya za Mkoa wa Simiyu.<\/p>\n\n\n\n<p>\u201cNapenda kutoa shukrani na pongezi kwa askari wetu waliopo uwandani, wananchi na Serikali za Wilaya za Mkoa wa Simiyu kwa kazi nzuri iliyofanyika ya kuwakabili wanyamapori wakali na waharibifu.<\/p>\n\n\n\n<p>\u201cNiendele kuwaomba wananchi kuendelea kushirikiana na askari wetu katika kazi hii ili tuweze kufikia malengo yanayokusudiwa,\u201d alisema Kapalata<\/p>\n\n\n\n<p><\/p>\n\n\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"1008\" height=\"477\" src=\"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/28d9e36a-250d-407f-aa0a-e32bf81e88d0.jpg\" alt=\"\" class=\"wp-image-6774\" srcset=\"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/28d9e36a-250d-407f-aa0a-e32bf81e88d0.jpg 1008w, https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/28d9e36a-250d-407f-aa0a-e32bf81e88d0-300x142.jpg 300w, https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/28d9e36a-250d-407f-aa0a-e32bf81e88d0-768x363.jpg 768w, https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/28d9e36a-250d-407f-aa0a-e32bf81e88d0-150x71.jpg 150w, https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/28d9e36a-250d-407f-aa0a-e32bf81e88d0-600x284.jpg 600w, https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/28d9e36a-250d-407f-aa0a-e32bf81e88d0-696x329.jpg 696w, https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2025\/04\/28d9e36a-250d-407f-aa0a-e32bf81e88d0-888x420.jpg 888w\" sizes=\"auto, (max-width: 1008px) 100vw, 1008px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p><strong><em>Askari wa Kikosi Maalumu cha Jeshi la Uhifadhi cha kupambana na wanyama wakali na waharibifu wakiwa kazini. <\/em><\/strong><\/p>\n\n\n\n<p>Aidha, Kapalata alisema hivi karibu kumeripotiwa uwepo na fisi waharibifu katika Kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) iliyopo Wilaya ya Kongwa, Mkoa wa Dodoma.<\/p>\n\n\n\n<p>Alisema tayari wizara imechukua hatua ya kupeleka kikosi kazi cha askari ambao wameweka kambi huko na kazi ya kuwasaka fisi hao imeshaanza.<\/p>\n\n\n\n<p>\u201cKuhusu taarifa ya uwepo wa fisi hatarishi katika Kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa Wilaya ya Kongwa, tumeshapeleka askari wetu nao wameanza kazi ya kuwasaka fisi hao. Ni imani yetu tutaitokomeza changamoto hiyo kwa mafanikio kama ilivyokuwa katika Mkoa wa Simiyu,\u201d alisema Kapalata.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>ZERUBABEL CHUMA KIKOSI maalumu chenye askari 27 kutoka taasisi zinazounda Jeshi la Uhifadhi kimewadhibiti fisi waharibifu 25 waliokuwa wakihatarisha usalama wa wananchi wa Mkoa wa Simuyu. Mkurugenzi wa Kitengo cha Uratibu wa Jeshi la Uhifadhi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACC), Fidelis Kapalata amewaambia waandishi wa habari kuwa kudhibitiwa kwa fisi hao ni hatua za makusudi zinazochukuliwa [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":6772,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","footnotes":""},"categories":[75],"tags":[],"coauthors":[],"class_list":{"0":"post-6771","1":"post","2":"type-post","3":"status-publish","4":"format-standard","5":"has-post-thumbnail","7":"category-utalii"},"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/6771","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=6771"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/6771\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":6775,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/6771\/revisions\/6775"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/6772"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=6771"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=6771"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=6771"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=6771"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}