{"id":1988,"date":"2017-09-02T14:56:00","date_gmt":"2017-09-02T14:56:00","guid":{"rendered":"https:\/\/msangirstz8.wordpress.com\/2017\/09\/02\/ninakuamkia-julius-kambarage-nyerere\/"},"modified":"2017-09-02T14:56:00","modified_gmt":"2017-09-02T14:56:00","slug":"ninakuamkia-julius-kambarage-nyerere","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=1988","title":{"rendered":"NINAKUAMKIA JULIUS KAMBARAGE NYERERE"},"content":{"rendered":"<p><!--[if gte mso 9]&gt;   Normal  0          false  false  false    EN-US  X-NONE  X-NONE                                       MicrosoftInternetExplorer4                                     &lt;![endif]--><br \/><!--[if gte mso 9]&gt;                                                                                                                                                                                                                                                                                    &lt;![endif]--><!--[if gte mso 10]&gt; \/* Style Definitions *\/  table.MsoNormalTable  {mso-style-name:\"Table Normal\";  mso-tstyle-rowband-size:0;  mso-tstyle-colband-size:0;  mso-style-noshow:yes;  mso-style-priority:99;  mso-style-qformat:yes;  mso-style-parent:\"\";  mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt;  mso-para-margin-top:0in;  mso-para-margin-right:0in;  mso-para-margin-bottom:10.0pt;  mso-para-margin-left:0in;  line-height:115%;  mso-pagination:widow-orphan;  font-size:11.0pt;  font-family:\"Calibri\",\"sans-serif\";  mso-ascii-font-family:Calibri;  mso-ascii-theme-font:minor-latin;  mso-fareast-font-family:\"Times New Roman\";  mso-fareast-theme-font:minor-fareast;  mso-hansi-font-family:Calibri;  mso-hansi-theme-font:minor-latin;  mso-bidi-font-family:\"Times New Roman\";  mso-bidi-theme-font:minor-bidi;} &lt;![endif]--> <\/p>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<table align=\"center\" cellpadding=\"0\" cellspacing=\"0\" class=\"tr-caption-container\" style=\"margin-left:auto;margin-right:auto;text-align:center;\">\n<tbody>\n<tr>\n<td style=\"text-align:center;\"><a href=\"https:\/\/i0.wp.com\/tanzaniapanorama.co.tz\/wp-content\/uploads\/2022\/11\/4c141-mchonga.jpg?ssl=1\" style=\"margin-left:auto;margin-right:auto;\" target=\"_blank\" rel=\"noopener\"><img data-recalc-dims=\"1\" loading=\"lazy\" decoding=\"async\" border=\"0\" height=\"180\" src=\"https:\/\/i0.wp.com\/tanzaniapanorama.co.tz\/wp-content\/uploads\/2022\/11\/4c141-mchonga.jpg?resize=320%2C180&#038;ssl=1\" width=\"320\" \/><\/a><\/td>\n<\/tr>\n<tr>\n<td class=\"tr-caption\" style=\"text-align:center;\">J.K Nyerere<\/td>\n<\/tr>\n<\/tbody>\n<\/table>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>MWALIMU Julius Kambarage Nyerere, ninakuamkia shikamoo. Habari za miaka 12 iliyopita?<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>\u00a0<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Ninatambua umetu\u2018miss\u2019 sana watanzania wako ambao hutujakuona kwa muda mrefu sasa baada ya kuondoka bila kutuaga.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Hukutuaga wala hatukukuaga kwa sababu ulifia mbali, ugenini kwa wazungu. Hao ndiyo waliokuona ukikata roho, wakakufunika macho na kuunyoosha mwili wako vizuri. <\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Sisi watu wako tulipokea kiwiliwili chako na kukifukia ardhini. Basi. Inauma sana kwa mtu tuliyekupenda kutuacha bila neno la mwisho.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Kama wewe ulivyotu\u2018miss\u2019 nasi ni hivyo hivyo. Tumeku\u2018miss\u2019 mno. Na amini usiamini, siku si nyingi tutakutana tena huko uliko. <\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Tuko mbioni kufa kutokana na ugumu wa maisha unaosababishwa na upumbavu wetu wa kukiuka yale uliyokuwa ukitukaza.\u00a0<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>\u00a0<\/p>\n<table align=\"center\" cellpadding=\"0\" cellspacing=\"0\" class=\"tr-caption-container\" style=\"margin-left:auto;margin-right:auto;text-align:center;\">\n<tbody>\n<tr>\n<td style=\"text-align:center;\"><a href=\"https:\/\/i0.wp.com\/tanzaniapanorama.co.tz\/wp-content\/uploads\/2022\/11\/9dd41-moja.jpg?ssl=1\" style=\"margin-left:auto;margin-right:auto;\" target=\"_blank\" rel=\"noopener\"><img data-recalc-dims=\"1\" loading=\"lazy\" decoding=\"async\" border=\"0\" height=\"201\" src=\"https:\/\/i0.wp.com\/tanzaniapanorama.co.tz\/wp-content\/uploads\/2022\/11\/9dd41-moja.jpg?resize=320%2C201&#038;ssl=1\" width=\"320\" \/><\/a><\/td>\n<\/tr>\n<tr>\n<td class=\"tr-caption\" style=\"text-align:center;\">Umaskini<\/td>\n<\/tr>\n<\/tbody>\n<\/table>\n<p><\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Tangu ulipotuacha tumesahau kabisa mema na mazuri uliyotufanyia na kutufundisha. Tumekumbatia mambo ya hovyo na ya kipuuzi ambayo yanatuumiza na kutusababishia mateso na majuto makuu mioyoni mwetu. <\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Ni kwa sababu hiyo ya kutosikia kwetu ndiyo maana tunaelekea kufutika ulimwenguni pasipo mapenzi yetu wala ya muumba wetu. Tunastahili kulaaniwa kama hatuteswi na laana ya kukupuuza.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Mwalimu, tangu ulipoondoka bila kutuaga na nadhani hukutuaga kwa sababu uliona hakuna haja hiyo kutokana na uzumbukuku wetu, Tanzania yenye neema uliyotuachia sasa imegeuka kuwa yenye laana.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Tunatawaliwa kwa nguvu na mafisadi. Wanatukamua mpaka jasho la damu. Makaburu uliokuwa ukiwapiga vita sasa wamejaa nchini mwetu, tunawaita wawekezaji. <\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Wako kila pembe ya nchi wakichuma rasilimali zetu ambazo enzi za uhai wako ulizilinda kwa gharama kubwa, wanachukua na kuzipeleka kwao, ughaibuni na wanafanya hivi kwa baraka za wakubwa wanaotutawala.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Mwalimu, Tanzania yako uliyoiasisi sasa inatawaliwa na watu uliowakataa kwa nguvu zako zote kuwa watawala. Walitumia miaka kumi kuutafuta utawala wakafanikiwa. <\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Sasa wanatutawala kweli na staili yao ya utawala ni kushiba wao kwanza, kisha marafiki zao na mwisho ndiyo sisi.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Wameunda genge la kihalifu walilolipachika jina la wanamtandao. Genge hili ndilo linalotuchagulia viongozi. Linaongozwa na maburushi wala rushwa wakubwa ambao enzi zako ulikuwa ukiwacharaza bakora bila huruma.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Genge la kihalifu la wanamtandao sasa limekiteka chama, ndilo linalokiongoza na linaowapa nafasi za uongozi ni wezi, wazinzi, wababe na kidogo sana utakuta kuna waadilifu wawili watatu.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Linawatumia vijana wetu wa ulinzi na usalama kutukandamiza, wanatupiga kweli hasa tunapojaribu kutumia haki yetu ya kuandama kwa amani kushinikiza kupatiwa haki zetu za msingi. Mwalimu, tunaonewa kweli.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Miaka 12 baada ya kutuacha tumetambua kwa nini ulikuwa unakataa watawala wa sasa wasiwe watawala. Katika utawala wao taifa limefika pabaya, linaelekea shimoni, tumaini la kuiona kesho halipo.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Ni katika utawala huu ndiyo nchi imekumbwa na mabalaa ya kila aina. Njaa imekuwa yetu mwaka hadi mwak, elimu uliyokuwa ukiitoa bure nayo sasa imekuwa anasa, tunalazimishwa kuilipia, eti kusoma bure katika nchi inayotiririka madini na aina nyingi za rasilimali zilizoko hapa duniani ni dhambi. <\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Waliosoma wakaelimika kwa kutumia rasilimali hizo ni wale uliowasomesha wewe. Ajabu ni hao hao uliowasomesha bure ndiyo ambao sasa hawataki wenzao wasome bure. Watu wa ajabu, wana roho mbaya. Hakika ulisomesha ibilisi wa kuja kutusindikiza kwenda motoni.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<table align=\"center\" cellpadding=\"0\" cellspacing=\"0\" class=\"tr-caption-container\" style=\"margin-left:auto;margin-right:auto;text-align:center;\">\n<tbody>\n<tr>\n<td style=\"text-align:center;\"><a href=\"https:\/\/i0.wp.com\/tanzaniapanorama.co.tz\/wp-content\/uploads\/2022\/11\/52767-mchonga2b2.jpg?ssl=1\" style=\"margin-left:auto;margin-right:auto;\" target=\"_blank\" rel=\"noopener\"><img data-recalc-dims=\"1\" loading=\"lazy\" decoding=\"async\" border=\"0\" height=\"197\" src=\"https:\/\/i0.wp.com\/tanzaniapanorama.co.tz\/wp-content\/uploads\/2022\/11\/52767-mchonga2b2.jpg?resize=320%2C197&#038;ssl=1\" width=\"320\" \/><\/a><\/td>\n<\/tr>\n<tr>\n<td class=\"tr-caption\" style=\"text-align:center;\">J.K Nyerere<\/td>\n<\/tr>\n<\/tbody>\n<\/table>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Mwalimu, wajukuu zako wanaookoteza kila senti za wazazi na walezi wao ili wapate walau bora elimu kwa sababu elimu bora uliyokuwa ukiitoa wewe sasa hawawezi kuipata wanakukumbuka sana wanapokuwa katika mateso ya kukong\u2019otwa na virugu vya Askari Polisi wa kikosi maalumu cha \u2018fanya fujo uone\u2019 (FFU) kutokana na kudai haki yao ya msingi ya kupatiwa elimu. <\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Wakiwa katikati ya mateso hayo wanakukumbuka babu yao kwa kukuita jina nililokuwa napenda kukuita mimi rafiki yako Mchokonozi, jina la mchonga. Nadhani unalikumbuka. <\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Wakiwa katika hali hiyo huwa wanasikitisha sana, fikiria hata wale ambao hawakuwahi kukuona zaidi ya kusikia simulizi za jinsi ulivyokuwa ukiwapenda watanzania kwa moyo wako wote kiasi cha kujitolea maisha yako kuwaongoza kuishi maisha ya utu na si ya kinyama jina lako haliwatoki mdomo. <\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Kila wanapokong\u2019otwa na matarishi wa watawala hawaishi kujutia kwa maneno \u2018kama babu mchonga meno angekuwepo, haya yasingetukuta.\u2019 <\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>\u00a0<\/p>\n<table align=\"center\" cellpadding=\"0\" cellspacing=\"0\" class=\"tr-caption-container\" style=\"margin-left:auto;margin-right:auto;text-align:center;\">\n<tbody>\n<tr>\n<td style=\"text-align:center;\"><a href=\"https:\/\/i0.wp.com\/tanzaniapanorama.co.tz\/wp-content\/uploads\/2022\/11\/e8113-maandamano2budsm.jpg?ssl=1\" style=\"margin-left:auto;margin-right:auto;\" target=\"_blank\" rel=\"noopener\"><img data-recalc-dims=\"1\" loading=\"lazy\" decoding=\"async\" border=\"0\" height=\"180\" src=\"https:\/\/i0.wp.com\/tanzaniapanorama.co.tz\/wp-content\/uploads\/2022\/11\/e8113-maandamano2budsm.jpg?resize=320%2C180&#038;ssl=1\" width=\"320\" \/><\/a><\/td>\n<\/tr>\n<tr>\n<td class=\"tr-caption\" style=\"text-align:center;\">Vurugu maandamano ya wanafunzi<\/td>\n<\/tr>\n<\/tbody>\n<\/table>\n<p><\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Tena wakati mwingine huwa wanaimba kuwalaani watawala wa sasa uliotukataza kuwapa utawala. Wanawalaani kwa kuimba hivi \u2018kama sio juhudi zako Nyerere, kama sio juhudi zako Nyerere, mafisadi mngesoma wapi?\u2019 <\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Itoshe tu katika hili kukufahamisha kuwa Tanzania yako ya sasa ina kizazi cha vijana wengi wasio kuwa na elimu bora. Ina lundo la vihiyo. Hawa ndiyo viongozi katika sekta nyingi nyeti. Ndiyo wanaoipeleka nchi shimoni.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Na katikati ya giza hilo la upofu wa elimu nchi imekumbwa na njaa kama nilivyodokeza hapo juu. Wakati wewe uliasisi kilimo cha kujitegemea wanzako huku wameasisi kilimo kwanza. Kilimo cha kufikirika, kilimo cha kuombea kura na kupitishia bajeti za ulaji wao. Najua unaelewa maana ya ninachokisema kwa sababu wewe ni mwelewa sana.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Ule uhuru ulioupigana unatimiza miaka 50 kesho kutwa lakini amini usiamini katika umri huo wa miaka 50 ya uahuru, watanzania hawana uhakika wa mlo wao wa siku, wanaamkia chai na kashata, wanashindia mihoga ya kuchoma kwa pilipili na wanalalia chai kwa maandazi.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Ardhi ya kulima ipo, mabwana shamba wapo lakini hakuna tena anayetaka kujishughulisha na kilimo. Wote wanataka kukaa mjini kwa sababu kilimo hakilipi. Kinacholipa ni siasa, ufisadi na ujanja ujanja.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Hivyo kwa sababu ya kukosa chakula tumebaki kuwa omba omba. Kila kukicha mkubwa wetu yuko safarini kwa wenzetu ambao ulipokuwepo tulikuwa tunalingana nao kwa uzalishaji wa chakula na hata bidhaa za viwandani kwenda kuomba misaada.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Anakwenda huko kuomba omba ili walau tuione kesho. Lakini uhakika wa kuiona wiki ijayo haupo ndiyo maana nikasema siku yoyote jiandae kutupokea huko uliko. Tutakuja tukiwa hoi kimwili, kiroho na kiakili, tofauti kabisa na ulivyotuacha.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Mwalimu, ingawa umri wa miaka 12 kwa watanzania wako ni mrefu sasa kutokana na ugumu wa maisha. Kwamba huku uswahilini kwa wachokonozi ukiishi umri huo unakuwa umeyaona mengi kiasi kwamba hata ukifa unakuwa na mengi ya kusimulia, hivi sasa umri huu tunaona mfupi mno. Tumebaki kujuta kwa kutenda uliyotukataza wakati ukiwa hai.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span style=\"font-size:small;\"><span>Na kwa salamu hizi, tambua kuwa hili ni ungamo tosha la kukiuka maagizo na maelezo yako ya kuwapa nchi wale uliotukataza kutokana na tamaa yetu ya kukubali kuuza kura zetu kwa rushwa ya sh 10,000, <span>\u00a0<\/span>fulana, tisheti, kanga na pilau.<\/span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>J.K Nyerere MWALIMU Julius Kambarage Nyerere, ninakuamkia shikamoo. Habari za miaka 12 iliyopita? \u00a0 Ninatambua umetu\u2018miss\u2019 sana watanzania wako ambao hutujakuona kwa muda mrefu sasa baada ya kuondoka bila kutuaga. Hukutuaga wala hatukukuaga kwa sababu ulifia mbali, ugenini kwa wazungu. Hao ndiyo waliokuona ukikata roho, wakakufunika macho na kuunyoosha mwili wako vizuri. Sisi watu wako [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":0,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","_jetpack_memberships_contains_paid_content":false,"footnotes":"","jetpack_publicize_message":"","jetpack_publicize_feature_enabled":true,"jetpack_social_post_already_shared":false,"jetpack_social_options":{"image_generator_settings":{"template":"highway","default_image_id":0,"font":"","enabled":false},"version":2}},"categories":[1],"tags":[33],"coauthors":[],"class_list":{"0":"post-1988","1":"post","2":"type-post","3":"status-publish","4":"format-standard","6":"category-uncategorized","7":"tag-mchokonozi"},"jetpack_publicize_connections":[],"jetpack_featured_media_url":"","jetpack_sharing_enabled":true,"jetpack_likes_enabled":true,"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/1988","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=1988"}],"version-history":[{"count":0,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/1988\/revisions"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=1988"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=1988"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=1988"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=1988"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}