{"id":1859,"date":"2022-10-29T14:22:30","date_gmt":"2022-10-29T14:22:30","guid":{"rendered":"http:\/\/tanzaniapanorama.co.tz\/?p=1859"},"modified":"2022-11-13T06:34:57","modified_gmt":"2022-11-13T06:34:57","slug":"shambulizi-kubwa-la-ndege-zisizo-na-rubani-limetokea-katika-bahari-nyeusi-urusi","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=1859","title":{"rendered":"SHAMBULIZI LA NDEGE ZISIZO NA RUBANI BAHARI NYEUS"},"content":{"rendered":"\n<p class=\"wp-block-paragraph\">MOSCOW, URUSI<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">URUSI imeishutumu Ukraine kwa kufanya shambulizi &#8220;kubwa&#8221; la ndege zisizo na rubani kwenye makao makuu ya Meli zake katika Bahari Nyeusi mji wa bandari wa Crimea wa Sevastopol.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Shambulizi hilo lilianza saa 04:20 kwa saa za huko na kuhusisha ndege tisa zisizo na rubani na saba za baharini, maafisa wa Urusi walisema.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Takriban meli moja ya kivita inasemekana kuharibiwa katika mashambulizi hayo.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Hata hivyo, kraine bado haijathibitisha tukio hilo.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Mikhail Razvozhaev, gavana wa mji huo aliyewekwa na Urusi, alisema jeshi la wanamaji la Urusi limezuia shambulizi hilo.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Mashambulizi hayo ndio yalikuwa &#8220;makubwa zaidi&#8221; katika jiji hilo tangu Urusi ilipoanzisha uvamizi wa Ukraine mnamo Februari, vyombo vya habari vya serikali ya Urusi vilimnukuu gavana huyo akisema.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Alisema kuwa magari yote ya anga yasiyokuwa na rubani (UAV) yamedunguliwa na hakuna &#8220;miundombinu ya raia&#8221; iliyoharibiwa.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Meli moja imeharibiwa kidogo, Wizara ya Ulinzi ya Urusi ilisema.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\"><strong><em>BBC Swahili<\/em><\/strong><\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>MOSCOW, URUSI URUSI imeishutumu Ukraine kwa kufanya shambulizi &#8220;kubwa&#8221; la ndege zisizo na rubani kwenye makao makuu ya Meli zake katika Bahari Nyeusi mji wa bandari wa Crimea wa Sevastopol. Shambulizi hilo lilianza saa 04:20 kwa saa za huko na kuhusisha ndege tisa zisizo na rubani na saba za baharini, maafisa wa Urusi walisema. Takriban [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":3551,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[74],"tags":[],"coauthors":[],"class_list":["post-1859","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-habari-kimataifa"],"amp_enabled":true,"jetpack_featured_media_url":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2022\/11\/images-22.jpeg","_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/1859","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=1859"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/1859\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":3377,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/1859\/revisions\/3377"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/3551"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=1859"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=1859"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=1859"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=1859"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}