{"id":1250,"date":"2018-03-19T17:04:00","date_gmt":"2018-03-19T17:04:00","guid":{"rendered":"https:\/\/msangirstz8.wordpress.com\/2018\/03\/19\/tff-ya-rais-karia-ina-mashtaka-ya-kujibu\/"},"modified":"2018-03-19T17:04:00","modified_gmt":"2018-03-19T17:04:00","slug":"tff-ya-rais-karia-ina-mashtaka-ya-kujibu-2","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=1250","title":{"rendered":"TFF YA RAIS KARIA INA \u2018MASHTAKA\u2019 YA KUJIBU"},"content":{"rendered":"<p><\/p>\n<div class=\"MsoNoSpacing\"><\/div>\n<table align=\"center\" cellpadding=\"0\" cellspacing=\"0\" class=\"tr-caption-container\" style=\"margin-left:auto;margin-right:auto;text-align:center;\">\n<tbody>\n<tr>\n<td style=\"text-align:center;\"><a href=\"https:\/\/babashadya6.files.wordpress.com\/2018\/03\/5241e-karia.jpg\" style=\"margin-left:auto;margin-right:auto;\" target=\"_blank\" rel=\"noopener\"><img data-recalc-dims=\"1\" loading=\"lazy\" decoding=\"async\" border=\"0\" height=\"393\" src=\"https:\/\/babashadya6.files.wordpress.com\/2018\/03\/5241e-karia.jpg?w=300&#038;resize=400%2C393\" width=\"400\" \/><\/a><\/td>\n<\/tr>\n<tr>\n<td class=\"tr-caption\" style=\"text-align:center;\">Karia<\/td>\n<\/tr>\n<\/tbody>\n<\/table>\n<div class=\"MsoNoSpacing\"><span style=\"font-family:Garamond, serif;font-size:16pt;\">DAR ES SALAAM<\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNoSpacing\"><span><br \/><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNoSpacing\"><span>LEO asubuhi, Rais wa Shirikisho la Soka (TFF), Wallace Karia amefanya mkutano na wahariri wa michezo wa vyombo mbalimbali vya habari na kueleza mikakati yake mingi pasipo kujibu \u2018mashtaka\u2019 ambayo<span>\u00a0 <\/span>yameelekezwa katika taasisi hiyo anayoiongoza.<\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span>Katika mkutano huo, Karia hakujibu \u2018mashtaka\u2019 iliyoelekezwa TFF likiwemo lile la Wambura kama Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha ya TFF kuhoji matumizi ya shilingi bilioni 3 zilizotumika ndani ya miezi sita.Pia, Karia hakujibu wala kulitolewa ufafanuzi shtaka la kukiukwa kwa kanuni\/taratibu za ajira ndani ya shirikisho katika utoaji nafasi za kazi. Karia hakuzungumza chochote kuhusu wafanyakazi wa kujitolea wanaoelezwa kupewa kipaumbele kwa sasa ndani ya shirikisho huku wale wenye sifa wakiwekwa kando kwa sababu siyo watu wake.Aidha, katika hali ya kushangaza hakusema chochote kuhusu kile kinachodaiwa kuwa taratibu za shirikisho zinaelekeza nafasi za ajira ndani ya shirikisho zinapaswa kutangazwa, waombaji wa ajira wanapaswa kufanyiwa usaili na kigezo cha elimu katika nafasi muhimu za kiutendaji ndani ya shirikisho kinapaswa kuzingatiwa, mambo ambayo utawala wa Rais Karia unadaiwa kuyakiuka.Wataalamu wa mambo ya soka wameeleza kuwa inawezekana Karia ameamua kuyaweka kiporo \u2018mashtaka\u2019 hayo ili ukweli wake uje kudhihirishwa na vyombo vingine ndani ya TFF lakini kwa hatua yake ya kutangaza kwenye mkutano huo kuwa hayuko tayari kukaa meza moja na \u2018mdhalimu\u2019 katika kipindi ambacho anasuguana na msaidizi wake, atalazimika sasa au huko tuendako kusimama tena mbele ya wana habari kutoa majibu ya \u2018mashtaka\u2019 haya na hata yale yatakayoongezeka. <span>\u00a0<\/span>Katika <\/span><span>mkutano huo, Karia amesema mtu yeyote aliyechezea fedha za TFF hatasalimika bila kujali kama ni rafiki yake na ametoa wito<\/span><span> kwa yeyote anayejua kuwa ana pesa za TFF kinyume cha utaratibu ajisalimishe mwenyewe.<\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span>Karia amewaambia wahariri kuwa anafanya kazi ya kuisafisha TFF na kazi hiyo ina gharama zake hivyo anahitaji kuungwa mkono kwa hatua madhubuti anazochukua za kupambana na udhalimu katika soka.<\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span>Amesisitiza kuwa atapambana bila woga pasipo kumdhulumu, kumuonea au kumpendelea mtu yeyote na kwamba <\/span><span>hayuko tayari kukaa meza moja na mdhalimu.<\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span>Amekwenda mbali kidogo kwa kujifananisha na Rais Dk. John Magufuli kwa kile alichoeleza kuwa katika kupambana na ufisadi yeye ni Magufuli mwingine ndani ya TFF.<\/span><span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span>Ametaja baadhi ya hatua ambazo TFF inachukua kujisafisha kuwa ni pamoja na kupambana na wizi wa mapato ya milangoni na kwamba tayari baadhi ya viongozi wamefungiwa.<\/span><span><\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span>Pamoja na hayo, Karia ameutumia pia mkutano huo kuzungumzia juu juu baadhi ya \u2018mashtaka\u2019 yaliyoelekezewa shirikisho kwa kueleza kuwa wakati anaingia madarakani TFF ilikuwa na wafanyakazi 44 waliokuwa wanalipwa mshahara sh. mil 85. Kwamba yeye amewapunguza hadi 21 ambao mishahara yao ni Sh mil 50.<\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><span>Amesema upunguzaji wafanyakazi haujiegemezi kwenye kufukuza bali wafanyakazi wasiokuwa na tija wanapomaliza muda wao, mikataba yao haiongezwi.<\/span><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<div class=\"MsoNormal\"><\/div>\n<p><\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Karia DAR ES SALAAM LEO asubuhi, Rais wa Shirikisho la Soka (TFF), Wallace Karia amefanya mkutano na wahariri wa michezo wa vyombo mbalimbali vya habari na kueleza mikakati yake mingi pasipo kujibu \u2018mashtaka\u2019 ambayo\u00a0 yameelekezwa katika taasisi hiyo anayoiongoza. Katika mkutano huo, Karia hakujibu \u2018mashtaka\u2019 iliyoelekezwa TFF likiwemo lile la Wambura kama Mwenyekiti wa Kamati [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":0,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","_jetpack_memberships_contains_paid_content":false,"footnotes":"","jetpack_publicize_message":"","jetpack_publicize_feature_enabled":true,"jetpack_social_post_already_shared":false,"jetpack_social_options":{"image_generator_settings":{"template":"highway","default_image_id":0,"font":"","enabled":false},"version":2}},"categories":[1],"tags":[34],"coauthors":[],"class_list":{"0":"post-1250","1":"post","2":"type-post","3":"status-publish","4":"format-standard","6":"category-uncategorized","7":"tag-habari"},"jetpack_publicize_connections":[],"jetpack_featured_media_url":"","jetpack_sharing_enabled":true,"jetpack_likes_enabled":true,"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/1250","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=1250"}],"version-history":[{"count":0,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/1250\/revisions"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=1250"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=1250"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=1250"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=1250"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}