{"id":11079,"date":"2026-07-21T13:01:55","date_gmt":"2026-07-21T13:01:55","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=11079"},"modified":"2026-07-21T13:02:00","modified_gmt":"2026-07-21T13:02:00","slug":"meja-kunta-afiwa-na-baba-yake","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=11079","title":{"rendered":"MEJA KUNTA AFIWA NA BABA YAKE"},"content":{"rendered":"\n<p class=\"wp-block-paragraph\">BABA mzazi wa msani wa singeli, Meja Kunta amefariki dunia leo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke alikokuwa amelazwa akipatiwa matababu.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Taarifa za kufariki kwa baba yake Kunta zimetolewa na Kunta mwenyewe alipokuwa akihojiwa na chombo kimoja cha habari (siyo Tanzania PANORAMA) kuhusu mwenendo wa matababu ya mzazi wake huyo.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Alisema baba yake amefariki dunia leo Julai 21, 2026 wakati akiendelea na tiba katika hospiotali hiyo,<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Mzee Kunta amefariki dunia ikiwa ni siku moja baada ya mwanae Meja kuandika ujumbe kwenye mitandao ya kijamii akieleza kuwa baba yake anaumwa na hali yake ini mbaya.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Katika ujumbe huo, Meja Kunta alieleza kuwa alifanya kila aliloweza kuhakikisha baba yake anapata matibabu, akidai kuwa alitumia fedha zake nyingi na hata aliuza baadhi ya mali zake ili kugharamia matibabu yake.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>BABA mzazi wa msani wa singeli, Meja Kunta amefariki dunia leo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke alikokuwa amelazwa akipatiwa matababu. Taarifa za kufariki kwa baba yake Kunta zimetolewa na Kunta mwenyewe alipokuwa akihojiwa na chombo kimoja cha habari (siyo Tanzania PANORAMA) kuhusu mwenendo wa matababu ya mzazi wake huyo. Alisema baba yake [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":11080,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[88],"tags":[],"coauthors":[201],"class_list":["post-11079","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-burudani"],"amp_enabled":true,"jetpack_featured_media_url":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2026\/07\/449eb32f-d90b-44de-a81b-7e9bdf2a92a0.jpg","_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/11079","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=11079"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/11079\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":11081,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/11079\/revisions\/11081"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/11080"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=11079"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=11079"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=11079"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=11079"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}