{"id":10919,"date":"2026-07-03T08:40:40","date_gmt":"2026-07-03T08:40:40","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10919"},"modified":"2026-07-03T08:40:47","modified_gmt":"2026-07-03T08:40:47","slug":"moto-mkubwa-wateketeza-maeneo-ya-kusini-mwa-ufaransa","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10919","title":{"rendered":"MOTO MKUBWA WATEKETEZA MAENEO YA KUSINI MWA UFARANSA"},"content":{"rendered":"\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Moto mkubwa wa nyika unaoendelea kusambaa kusini mwa France umesababisha takriban watu 3,000 kuhama kutoka makazi yao, huku mamlaka zikionya kuhusu kuanza mapema kwa msimu wa moto kutokana na wimbi la joto kali lililovunja rekodi.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya nchini humo, watalii na wakazi wa maeneo ya Sainte-Marie-la-Mer na Canet-en-Roussillon wamelazimika kuondoka baada ya moto kuzuka katika eneo la kambi na kusambaa kwa kasi.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Moto huo umeharibu nyumba kadhaa za muda kabla ya kufika katika eneo la bandari, ambapo moshi mzito wenye sumu ulitanda juu ya boti na majengo ya jirani.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Kwa mujibu wa mamlaka za eneo hilo, moto mkubwa zaidi umeshuhudiwa katika maeneo ya Aude na H\u00e9rault, ambapo zaidi ya ekari 900 za ardhi tayari zimeteketea.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Takriban wazima moto 800, wakisaidiwa na magari 150 ya zimamoto, wametumwa kupambana na moto huo, huku juhudi za kuudhibiti zikiendelea.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Moto mkubwa wa nyika unaoendelea kusambaa kusini mwa France umesababisha takriban watu 3,000 kuhama kutoka makazi yao, huku mamlaka zikionya kuhusu kuanza mapema kwa msimu wa moto kutokana na wimbi la joto kali lililovunja rekodi. Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya nchini humo, watalii na wakazi wa maeneo ya Sainte-Marie-la-Mer na Canet-en-Roussillon wamelazimika kuondoka [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":10920,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","_jetpack_memberships_contains_paid_content":false,"footnotes":"","jetpack_publicize_message":"","jetpack_publicize_feature_enabled":true,"jetpack_social_post_already_shared":true,"jetpack_social_options":{"image_generator_settings":{"template":"highway","default_image_id":0,"font":"","enabled":false},"version":2}},"categories":[74],"tags":[],"coauthors":[201],"class_list":["post-10919","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","category-habari-kimataifa"],"jetpack_publicize_connections":[],"jetpack_featured_media_url":"https:\/\/i0.wp.com\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2026\/07\/download.jpg?fit=599%2C401&ssl=1","jetpack_sharing_enabled":true,"jetpack_likes_enabled":true,"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10919","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=10919"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10919\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":10921,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10919\/revisions\/10921"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/10920"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=10919"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=10919"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=10919"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=10919"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}