{"id":10887,"date":"2026-07-02T09:59:40","date_gmt":"2026-07-02T09:59:40","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10887"},"modified":"2026-07-02T09:59:46","modified_gmt":"2026-07-02T09:59:46","slug":"urusi-ya-shambulia-miji-ya-ukraine","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10887","title":{"rendered":"URUSI YA SHAMBULIA MIJI YA UKRAINE"},"content":{"rendered":"\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Takriban watu 10 wameuawa katika mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani ya Urusi dhidi ya mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, usiku wa kuamkia Alhamisi.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Milipuko zaidi ya kumi ilisikika katika maeneo ya kati na mashariki mwa Kyiv, huku wakazi wakikimbilia vituo vya metro vilivyotumika kama makazi ya kujikinga.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Meya wa Kyiv alisema kupitia Telegram kuwa mji huo ulikuwa ukishambuliwa kwa makombora ya balestiki na droni, huku milipuko ikisikika katika sehemu mbalimbali za jiji,.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Mashambulizi hayo yalifuatia onyo la Jeshi la Anga la Ukraine kuhusu makombora ya balestiki yaliyokuwa yakielekea mji mkuu.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, alifupisha ziara yake nchini Ireland Jumatano baada ya kupokea taarifa za kijasusi kwamba Urusi ilikuwa ikijiandaa kufanya shambulio jipya dhidi ya nchi yake.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">&#8220;Nawasihi wananchi kuwa waangalifu sana, wawalinde watoto na familia zao, na wakimbilie kwenye makazi ya kujikinga,&#8221; Zelensky alisema katika mkutano na waandishi wa habari.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Aliongeza kuwa Urusi imekuwa ikijiandaa kwa muda mrefu kutekeleza shambulio hilo kubwa dhidi ya Ukraine.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Urusi imeendelea kushambulia miji ya Ukraine, ikiwemo Kyiv, kwa makombora na ndege zisizo na rubani tangu ilipoanzisha uvamizi wake wa kijeshi nchini humo mwezi Februari mwaka 2022.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Takriban watu 10 wameuawa katika mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani ya Urusi dhidi ya mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, usiku wa kuamkia Alhamisi. Milipuko zaidi ya kumi ilisikika katika maeneo ya kati na mashariki mwa Kyiv, huku wakazi wakikimbilia vituo vya metro vilivyotumika kama makazi ya kujikinga. Meya wa Kyiv alisema kupitia [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":10888,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","_jetpack_memberships_contains_paid_content":false,"footnotes":"","jetpack_publicize_message":"","jetpack_publicize_feature_enabled":true,"jetpack_social_post_already_shared":true,"jetpack_social_options":{"image_generator_settings":{"template":"highway","default_image_id":0,"font":"","enabled":false},"version":2}},"categories":[74],"tags":[],"coauthors":[201],"class_list":["post-10887","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","category-habari-kimataifa"],"jetpack_publicize_connections":[],"jetpack_featured_media_url":"https:\/\/i0.wp.com\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2026\/07\/dbc28349-7d28-406b-914e-168d9eca058e.jpg?fit=800%2C447&ssl=1","jetpack_sharing_enabled":true,"jetpack_likes_enabled":true,"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10887","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=10887"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10887\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":10889,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10887\/revisions\/10889"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/10888"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=10887"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=10887"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=10887"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=10887"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}