{"id":10721,"date":"2026-06-22T12:27:07","date_gmt":"2026-06-22T12:27:07","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10721"},"modified":"2026-06-22T12:27:18","modified_gmt":"2026-06-22T12:27:18","slug":"tanzania-yashika-nafasi-ya-sita-afrika-mashariki-haki-za-kidijitali","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10721","title":{"rendered":"TANZANIA YASHIKA NAFASI YA SITA AFRIKA MASHARIKI HAKI ZA KIDIJITALI"},"content":{"rendered":"\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Tanzania imeshika nafasi ya sita miongoni mwa nchi za Afrika Mashariki katika viwango vya kulinda haki za kidijitali na kukuza ujumuishi wa kidijitali, kwa mujibu wa ripoti ya Londa: Digital Rights and Inclusion in Africa Report 2024.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Taarifa hiyo ilitolewa leo jijini Dar es Salaam na Ofisa Programu wa Paradigm Initiative Afrika Mashariki wakati wa mafunzo ya waandishi wa habari kuhusu haki za kidijitali.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Amesema tathmini hiyo ilibaini kuwa nchi za Afrika Mashariki zimeonesha viwango tofauti katika kulinda haki za kidijitali na kuhakikisha wananchi wanapata fursa sawa za kutumia teknolojia za kidijitali.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Kwa mujibu wa ripoti hiyo, Tanzania ilipata alama 20 kati ya 60, ikiwa ni alama za chini zaidi katika ukanda wa Afrika Mashariki.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Ameeleza kuwa pamoja na kuongezeka kwa upatikanaji wa huduma za intaneti, bado kuna changamoto zinazohusisha uhuru wa kujieleza mtandaoni, haki ya faragha na upatikanaji wa taarifa.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\">Ameeleza umuhimu wa wadau mbalimbali kushirikiana katika kuimarisha mifumo ya kulinda haki za kidijitali ili kuhakikisha maendeleo ya teknolojia yanakwenda sambamba na ulinzi wa haki za wananchi.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Tanzania imeshika nafasi ya sita miongoni mwa nchi za Afrika Mashariki katika viwango vya kulinda haki za kidijitali na kukuza ujumuishi wa kidijitali, kwa mujibu wa ripoti ya Londa: Digital Rights and Inclusion in Africa Report 2024. Taarifa hiyo ilitolewa leo jijini Dar es Salaam na Ofisa Programu wa Paradigm Initiative Afrika Mashariki wakati wa [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":10722,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[69],"tags":[],"coauthors":[254],"class_list":["post-10721","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-habari-kitaifa"],"amp_enabled":true,"jetpack_featured_media_url":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2026\/06\/kifigitali.jpg","_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10721","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=10721"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10721\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":10723,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10721\/revisions\/10723"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/10722"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=10721"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=10721"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=10721"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=10721"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}