{"id":10354,"date":"2026-05-19T14:08:18","date_gmt":"2026-05-19T14:08:18","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10354"},"modified":"2026-05-19T14:08:28","modified_gmt":"2026-05-19T14:08:28","slug":"bilioni-334-34-kuimarisha-uhifadhi-na-utalii-nchini","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10354","title":{"rendered":"BILIONI 334.34 KUIMARISHA UHIFADHI NA UTALII NCHINI"},"content":{"rendered":"\n<p>BUNGE limeidhinisha bajeti ya Sh. bilioni 334.34 kwa Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka wa fedha 2026\/2027, kwa ajili ya kuimarisha uhifadhi wa maliasili na kukuza sekta ya utalii nchini.<\/p>\n\n\n\n<p>Akijibu hoja za wabunge bungeni Dodoma, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji amesema Serikali inaendelea kufanya tafiti kuhusu migogoro kati ya binadamu na wanyamapori, hususan tembo, ili kupata suluhisho la kudumu.<\/p>\n\n\n\n<p>Aidha, amesema mfumo wa PAIS umeboresha utoaji wa malipo ya kifuta jasho na kifuta machozi kwa wananchi wanaoathiriwa na wanyamapori, ambapo sasa hulipwa ndani ya siku sita hadi 14 baada ya taarifa kuthibitishwa, tofauti na awali ambapo malipo yalichelewa kwa miezi kadhaa.<\/p>\n\n\n\n<p>Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Chande amesema Serikali haitamvumilia mtumishi yeyote atakayeshindwa kutekeleza wajibu wake kwa weledi, nidhamu na uadilifu katika kulinda rasilimali za taifa.<\/p>\n\n\n\n<p>Imeandaliwa na Daniel Michael<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>BUNGE limeidhinisha bajeti ya Sh. bilioni 334.34 kwa Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka wa fedha 2026\/2027, kwa ajili ya kuimarisha uhifadhi wa maliasili na kukuza sekta ya utalii nchini. Akijibu hoja za wabunge bungeni Dodoma, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji amesema Serikali inaendelea kufanya tafiti kuhusu migogoro kati ya binadamu [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":10,"featured_media":10355,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","_jetpack_memberships_contains_paid_content":false,"footnotes":"","jetpack_publicize_message":"","jetpack_publicize_feature_enabled":true,"jetpack_social_post_already_shared":true,"jetpack_social_options":{"image_generator_settings":{"template":"highway","default_image_id":0,"font":"","enabled":false},"version":2}},"categories":[69],"tags":[],"coauthors":[253],"class_list":{"0":"post-10354","1":"post","2":"type-post","3":"status-publish","4":"format-standard","5":"has-post-thumbnail","7":"category-habari-kitaifa"},"jetpack_publicize_connections":[],"jetpack_featured_media_url":"https:\/\/i0.wp.com\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2026\/05\/UHIFADHI.jpeg?fit=1024%2C577&ssl=1","jetpack_sharing_enabled":true,"jetpack_likes_enabled":true,"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10354","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/10"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=10354"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10354\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":10356,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10354\/revisions\/10356"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/10355"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=10354"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=10354"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=10354"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=10354"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}