{"id":10343,"date":"2026-05-19T13:59:16","date_gmt":"2026-05-19T13:59:16","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10343"},"modified":"2026-05-19T13:59:30","modified_gmt":"2026-05-19T13:59:30","slug":"jwtz-yaendelea-na-doria-mpaka-wa-drc","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10343","title":{"rendered":"JWTZ YAENDELEA NA DORIA MPAKA WA DRC"},"content":{"rendered":"\n<p>SERIKALI imesema hali ya usalama katika mpaka wa Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wenye urefu wa kilometa 554 inaendelea kuwa shwari licha ya changamoto zinazosababishwa na mapigano yanayoendelea mashariki mwa nchi hiyo.<\/p>\n\n\n\n<p>Imeelezwa kuwa mapigano kati ya Jeshi la DRC na makundi yenye silaha hususan Kundi la M23 yameendelea kuathiri hali ya usalama katika maeneo ya mpakani, baada ya kundi hilo kushikilia miji mbalimbali ya kimkakati katika majimbo ya Kivu Kaskazini na Kusini ikiwemo Goma, Bukavu pamoja na kudhibiti Mji wa Uvira.<\/p>\n\n\n\n<p>Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Mei 19, 2026 na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Rhimo Nyansaho wakati akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026\/2027.<\/p>\n\n\n\n<p>Amesema kutokana na hali hiyo, Serikali kupitia Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) imeendelea kufuatilia kwa karibu mwenendo wa usalama katika mpaka huo ikiwemo kufanya doria za mara kwa mara.<\/p>\n\n\n\n<p>Aidha, amesema juhudi mbalimbali za kikanda na kimataifa zinaendelea kuchukuliwa kwa lengo la kurejesha amani ya kudumu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>SERIKALI imesema hali ya usalama katika mpaka wa Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wenye urefu wa kilometa 554 inaendelea kuwa shwari licha ya changamoto zinazosababishwa na mapigano yanayoendelea mashariki mwa nchi hiyo. Imeelezwa kuwa mapigano kati ya Jeshi la DRC na makundi yenye silaha hususan Kundi la M23 yameendelea kuathiri hali ya usalama [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":10344,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","_jetpack_memberships_contains_paid_content":false,"footnotes":"","jetpack_publicize_message":"","jetpack_publicize_feature_enabled":true,"jetpack_social_post_already_shared":true,"jetpack_social_options":{"image_generator_settings":{"template":"highway","default_image_id":0,"font":"","enabled":false},"version":2}},"categories":[69],"tags":[],"coauthors":[201,253],"class_list":{"0":"post-10343","1":"post","2":"type-post","3":"status-publish","4":"format-standard","5":"has-post-thumbnail","7":"category-habari-kitaifa"},"jetpack_publicize_connections":[],"jetpack_featured_media_url":"https:\/\/i0.wp.com\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2026\/05\/mgambo.jpeg?fit=678%2C452&ssl=1","jetpack_sharing_enabled":true,"jetpack_likes_enabled":true,"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10343","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=10343"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10343\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":10345,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10343\/revisions\/10345"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/10344"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=10343"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=10343"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=10343"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=10343"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}