{"id":10281,"date":"2026-05-09T10:58:08","date_gmt":"2026-05-09T10:58:08","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10281"},"modified":"2026-05-09T10:58:14","modified_gmt":"2026-05-09T10:58:14","slug":"fei-toto-kuvunja-rekodi-ya-miaka-minne-ligi-kuu-bara","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10281","title":{"rendered":"FEI TOTO KUVUNJA REKODI YA MIAKA MINNE LIGI KUU BARA?"},"content":{"rendered":"\n<p>TANGU George Mpole alipotwaa tuzo ya Mfungaji Bora Ligi Kuu Bara mwaka 2022, hakuna mchezaji mzawa aliyeweza kufanya hivyo hadi sasa, lakini kiungo wa Azam, Feisal Salum &#8216;Fei Toto&#8217;, huenda akaivunja rekodi hiyo msimu huu.<\/p>\n\n\n\n<p>Fei Toto ndiye kinara wa mabao kufikia hatua hii ya msimu wa 2025-26, akiwa ameingia kambani mara 10, achilia mbali &#8216;asisti&#8217; zake saba.<\/p>\n\n\n\n<p>Itakumbukwa, Mpole akiwa na Geita Gold, alifunga mabao 17 alipotwaa kiatu cha ufungaji bora msimu wa 2021-22, wakati huo Fei Toto akiwa amezifumania nyavu mara sita pekee.<\/p>\n\n\n\n<p>Tangu wakati huo, wachezaji wa kigeni wamekuwa wakipokezana tuzo hiyo, huku washambuliaji wazawa wakiishia kuwa wasindikizaji tu.<\/p>\n\n\n\n<p>Mastaa wa kigeni walioibuka wafungaji bora kwa misimu mitatu mfululizo ya hivi karibuni ni pamoja na Ahoua wa Simba aliyefanya hivyo msimu uliopita (2024-25) akiwa na mabao 16.<\/p>\n\n\n\n<p>Wengine ni Stephanie Aziz Ki (mabao 21, 2023-24) na Fiston Mayele (mabao 16, 2022-23), wote wakipata heshima hiyo wakiwa na Yanga.<\/p>\n\n\n\n<p>Msimu wa 2023-24, Fei Toto alikaribia kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara lakini mabao yake 19 hayakutosha mbele ya Aziz Ki aliyebeba tuzo hiyo kwa tofauti ya mabao mawili.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>TANGU George Mpole alipotwaa tuzo ya Mfungaji Bora Ligi Kuu Bara mwaka 2022, hakuna mchezaji mzawa aliyeweza kufanya hivyo hadi sasa, lakini kiungo wa Azam, Feisal Salum &#8216;Fei Toto&#8217;, huenda akaivunja rekodi hiyo msimu huu. Fei Toto ndiye kinara wa mabao kufikia hatua hii ya msimu wa 2025-26, akiwa ameingia kambani mara 10, achilia mbali [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":10282,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","_jetpack_memberships_contains_paid_content":false,"footnotes":"","jetpack_publicize_message":"","jetpack_publicize_feature_enabled":true,"jetpack_social_post_already_shared":true,"jetpack_social_options":{"image_generator_settings":{"template":"highway","default_image_id":0,"font":"","enabled":false},"version":2}},"categories":[216],"tags":[],"coauthors":[201,203],"class_list":{"0":"post-10281","1":"post","2":"type-post","3":"status-publish","4":"format-standard","5":"has-post-thumbnail","7":"category-michezo-kitaifa"},"jetpack_publicize_connections":[],"jetpack_featured_media_url":"https:\/\/i0.wp.com\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2026\/05\/fei.jpeg?fit=495%2C258&ssl=1","jetpack_sharing_enabled":true,"jetpack_likes_enabled":true,"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10281","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=10281"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10281\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":10283,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10281\/revisions\/10283"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/10282"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=10281"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=10281"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=10281"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=10281"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}