{"id":10136,"date":"2026-05-04T10:52:00","date_gmt":"2026-05-04T10:52:00","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10136"},"modified":"2026-05-04T10:52:10","modified_gmt":"2026-05-04T10:52:10","slug":"gueye-aingia-anga-za-musonda-inonga","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10136","title":{"rendered":"GUEYE AINGIA ANGA ZA MUSONDA, INONGA"},"content":{"rendered":"\n<p>BAO la dakika ya tatu alilofunga Libasse Gueye katika sare ya mabao 2-2 dhidi ya Yanga limemfanya mshambuliaji huyo wa Simba kufuata nyayo za mastaa wa zamani wa timu hizo, Kennedy Musonda na Enock Innonga.<\/p>\n\n\n\n<p>Gueye raia wa Senegal, anaungana nao katika orodha ya wachezaji watatu waliofunga mabao ya mapema zaidi katika &#8216;Kariakoo derby&#8217; 10 zilizopita za Ligi Kuu Bara.<\/p>\n\n\n\n<p>Kama ilivyo kwake, Musonda akiwa na Yanga aliitungua Simba katika dakika ya tatu, mchezo uliochezwa Novemba 5, 2023 na Simba kupoteza kwa kichapo cha mabao 5-1.<\/p>\n\n\n\n<p>Mabao mengine ya Yanga katika mechi hiyo yalifungwa na Maxi Nzengeli (mawili), Pacome Zouzoua na Stephanie Aziz Ki, huku Simba wakipata bao kupitia kwa Kibu Dennis.<\/p>\n\n\n\n<p>Kwa upande wa Inonga, bado ndiye mchezaji mwenye rekodi ya bao la mapema zaidi katika derby za miaka ya hivi karibuni, akiwapiku Musonda na Gueye.<\/p>\n\n\n\n<p>Beki wa kati huyo raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), aliifunga Yanga katika dakika ya kwanza ya derby iliyochezwa Aprili 16, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.<\/p>\n\n\n\n<p>Ikumbukwe, ni mchezo ambao Simba wakiwa wenyeji walizoa pointi zote tatu, bao lao jingine likifungwa na Kibu katika dakika ya 32.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>BAO la dakika ya tatu alilofunga Libasse Gueye katika sare ya mabao 2-2 dhidi ya Yanga limemfanya mshambuliaji huyo wa Simba kufuata nyayo za mastaa wa zamani wa timu hizo, Kennedy Musonda na Enock Innonga. Gueye raia wa Senegal, anaungana nao katika orodha ya wachezaji watatu waliofunga mabao ya mapema zaidi katika &#8216;Kariakoo derby&#8217; 10 [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":8,"featured_media":10137,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","_jetpack_memberships_contains_paid_content":false,"footnotes":"","jetpack_publicize_message":"","jetpack_publicize_feature_enabled":true,"jetpack_social_post_already_shared":true,"jetpack_social_options":{"image_generator_settings":{"template":"highway","default_image_id":0,"font":"","enabled":false},"version":2}},"categories":[79],"tags":[],"coauthors":[203],"class_list":{"0":"post-10136","1":"post","2":"type-post","3":"status-publish","4":"format-standard","5":"has-post-thumbnail","7":"category-michezo"},"jetpack_publicize_connections":[],"jetpack_featured_media_url":"https:\/\/i0.wp.com\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2026\/05\/LIBASE.jpeg?fit=1080%2C1080&ssl=1","jetpack_sharing_enabled":true,"jetpack_likes_enabled":true,"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10136","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/8"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=10136"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10136\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":10138,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10136\/revisions\/10138"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/10137"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=10136"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=10136"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=10136"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=10136"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}