{"id":10106,"date":"2026-05-02T16:01:53","date_gmt":"2026-05-02T16:01:53","guid":{"rendered":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10106"},"modified":"2026-05-02T16:02:02","modified_gmt":"2026-05-02T16:02:02","slug":"kariakoo-derby-na-ukame-wa-mabao-ya-kipindi-cha-kwanza","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/?p=10106","title":{"rendered":"&#8216;KARIAKOO DERBY&#8217; NA UKAME WA MABAO YA KIPINDI CHA KWANZA"},"content":{"rendered":"\n<p>TAKWIMU zinaongea! Hakuna bao lililofungwa katika dakika 45 za kwanza katika mechi zote tano za &#8216;Kariakoo Derby&#8217; zilizochezwa hivi karibuni.<\/p>\n\n\n\n<p>&#8216;Derby&#8217; iliyopita, ambayo ilikuwa ya fainali ya Kombe la Muungano, ilishuhudia bao pekee la mchezo likifungwa katika dakika ya 120, mfungaji akiwa Seleman Mwalim wa Simba.<\/p>\n\n\n\n<p>Kabla ya hiyo, derby ya Machi Mosi, 2026 haikushuhudia bao, si tu kipindi cha kwanza, bali hata dakika zote 45 za kipindi cha pili. Mechi hiyo ya Ligi ikaisha kwa Yanga na Simba kugawana pointi.<\/p>\n\n\n\n<p>Nyuma yake, ni derby ya Septemba 16, 2025, ambapo bao pekee la mchezo lililoipa Yanga pointi tatu lilifungwa na Pacome Zouzoua katika dakika ya 56.<\/p>\n\n\n\n<p>Mechi hiyo ilitanguliwa na ile ya Juni 25, 2025. Mabao yote ya Yanga katika ushindi wa 2-0 yalipatikana kipindi cha pili, wafungaji wakiwa Pacome (dk. 67) na Maxi Nzengeli (dk. 88).<\/p>\n\n\n\n<p>Ya mwisho kati ya hizo tano ni derby ya Oktoba 19, 2025. Yanga ilizoa pointi tatu kwa bao la kujifunga la Kelvin Kijili katika dakika ya 86.<\/p>\n\n\n\n<p>Je, derby ya wikiendi hii itashuhudia nyavu zikitikiswa ndani ya dakika 45 za kwanza au ni mwendelezo wa kusubiri kipindi cha pili?<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>TAKWIMU zinaongea! Hakuna bao lililofungwa katika dakika 45 za kwanza katika mechi zote tano za &#8216;Kariakoo Derby&#8217; zilizochezwa hivi karibuni. &#8216;Derby&#8217; iliyopita, ambayo ilikuwa ya fainali ya Kombe la Muungano, ilishuhudia bao pekee la mchezo likifungwa katika dakika ya 120, mfungaji akiwa Seleman Mwalim wa Simba. Kabla ya hiyo, derby ya Machi Mosi, 2026 haikushuhudia [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":8,"featured_media":10107,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"tdm_status":"","tdm_grid_status":"","_jetpack_memberships_contains_paid_content":false,"footnotes":"","jetpack_publicize_message":"","jetpack_publicize_feature_enabled":true,"jetpack_social_post_already_shared":true,"jetpack_social_options":{"image_generator_settings":{"template":"highway","default_image_id":0,"font":"","enabled":false},"version":2}},"categories":[216],"tags":[],"coauthors":[203],"class_list":{"0":"post-10106","1":"post","2":"type-post","3":"status-publish","4":"format-standard","5":"has-post-thumbnail","7":"category-michezo-kitaifa"},"jetpack_publicize_connections":[],"jetpack_featured_media_url":"https:\/\/i0.wp.com\/tanzaniapanorama.com\/wp-content\/uploads\/2026\/05\/kariakoo.jpeg?fit=930%2C1024&ssl=1","jetpack_sharing_enabled":true,"jetpack_likes_enabled":true,"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10106","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/8"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=10106"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10106\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":10108,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/10106\/revisions\/10108"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/10107"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=10106"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=10106"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=10106"},{"taxonomy":"author","embeddable":true,"href":"https:\/\/tanzaniapanorama.com\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcoauthors&post=10106"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}