Yanga mdomoni kwa Watunisia

Date:

Share post:

DROO ya hatua ya mchujo kuwania kutinga makundi ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) imemalizika, ambapo Yanga itacheza na Club Africain ya nchini Tunisia.

Mchezo wa kwanza baina ya timu hizo utafanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Novemba 2, 2022 na kurudiana wiki mbili baadaye nchini Tunisia.

Katika hatua ya 32 Bora, Club Africain ilicheza na Kipanga ya Zanzibar, ambapo mchezo wa kwanza uliofanyika Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar, timu hizo hazikufungana, lakini ziliporudiana nchini Tunisia mwishoni mwa wiki, Club Africain ilishinda mabao 7-0.

Yanga wameangukia michuano ya shirikisho baada ya kutolewa kwenye mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Klabu Bingwa Afrika

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

RAIS WA TAIWAN ASITISHA ZIARA YAKE AFRIKA, CHINA IKITAJWA KUWA CHANZO

TAIPEI, TaiwanRAIS wa Taiwan, Lai Ching-te, ameahirisha ziara yake nchini Eswatini, huku akiitaja China kuwa ndiyo chanzo cha...

USIYOYAJUA KUHUSU ZIARA YA PAPA LEO BARANI AFRIKA

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, yuko barani Afrika kwa ziara ya siku 10 katika mataifa...

MATESO WANAYOPITIA WATOTO KATIKA MACHAFUKO YA SUDAN

DARFUR, Sudan "HALI ya watoto nchini Sudan inazidi kuwa mbaya kila baada ya saa moja." Hiyo ni kauli ya...

IRAN: TUKO TAYARI KWA VITA MAZUNGUMZO YAKISHINDIKANA

TEHRAN, IranSPIKA wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amesema nchi yake itakuwa tayari kwa mbinu mpya za...