Kubenea hana imani na polisi

Date:

Share post:

Kubenea hana imani na polisi

DAR ES SALAAM

 
 
Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea jana alidai kuwa haliamini Jeshi la Polisi katika uchunguzi kwa matukio yanayokihusu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)

Kubenea alitoa madai hayo jana Dar es Salaam kwa kueleza kuwa polisi wamekosa sifa na hawaaminiki tena.
Alidai kusikitishwa na polisi kwa sababu wanavunja sheria za nchi.

 

 

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...

BARCA YAPATA MRITHI WA LEWANDOWSKI

CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona imeanza mipango ya kumsajili mshambuliaji wa kati wa Real Mallorca, Vedat Muriqi, ikiamini anatosha...

ARSENAL AKILI YOTE KWA MONGA

LONDON, UingerezaARSENAL ya Kaskazini mwa Jiji la London imeonesha nia ya kumsajili winga anayefanya vizuri Ligi Daraja la...