Friday, 21 August 2026

Kubenea hana imani na polisi

Kubenea hana imani na polisi DAR ES SALAAM     Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea jana alidai kuwa haliamini Jeshi la Polisi katika uchunguzi kwa matukio yanayokihusu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kubenea alitoa madai hayo jana Dar es Salaam kwa kueleza kuwa polisi wamekosa sifa na hawaaminiki tena. Alidai kusikitishwa na polisi kwa […]

Kubenea hana imani na polisi

DAR ES SALAAM

 
 
Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea jana alidai kuwa haliamini Jeshi la Polisi katika uchunguzi kwa matukio yanayokihusu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)

Kubenea alitoa madai hayo jana Dar es Salaam kwa kueleza kuwa polisi wamekosa sifa na hawaaminiki tena.
Alidai kusikitishwa na polisi kwa sababu wanavunja sheria za nchi.

 

 

About The Author

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *