Waziri Mkuu aagiza mapambano

Date:

Share post:

Waziri Mkuu aagiza mapambano dhidi ya uhalifu soko la korosho

MTWARA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amewaagiza viongozi wa Mkoa wa Mtwara kupambana na makundi ya watu yanayotaka kuharibu masoko ya korosho.
Agizo hilo alilitoa jana wakati akizungumza na watumishi na madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba.


Alisema Wilaya ya Tandahimba ina korosho za daraja la kwanza hivyo ni ajabu kuona korosho chafu na kuhoji zinatokea wapi.
Awali, Waziri Mkuu Majaliwa alitembelea kiwanda cha kubangua korosho cha Amama Farms alikotoa wito kwa walionunua viwanda vya korosho kufunga mashine mpya na kuanza uzalishaji.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...

BARCA YAPATA MRITHI WA LEWANDOWSKI

CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona imeanza mipango ya kumsajili mshambuliaji wa kati wa Real Mallorca, Vedat Muriqi, ikiamini anatosha...

ARSENAL AKILI YOTE KWA MONGA

LONDON, UingerezaARSENAL ya Kaskazini mwa Jiji la London imeonesha nia ya kumsajili winga anayefanya vizuri Ligi Daraja la...