Vipodozi vikali chanzo cha saratani DAR ES SALAAM Matumizi ya vipodozi vyenye viambata sumu yanasababisha ugonjwa wa saratani. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Grace, Elizabeth Kilili alipokuwa akitoa elimu ya ujasiriamali kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mwenyeheri Anuarite iliyopo Makoka, jijini Dar es Salaam. Alisema vipodozi vyenye […]
Matumizi ya vipodozi vyenye viambata sumu yanasababisha ugonjwa wa saratani.
Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Grace, Elizabeth Kilili alipokuwa akitoa elimu ya ujasiriamali kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mwenyeheri Anuarite iliyopo Makoka, jijini Dar es Salaam. Alisema vipodozi vyenye sumu vinasababisha saratani ya ngozi, kuua nguvu za kiume na kuharibu ukuaji wa mtoto aliye tumboni.