Mtaka alaumu mashirika ya afya

Date:

Share post:

Mtaka alaumu mashirika ya afya
SIMIYU
MKUU wa  Mkoa wa Simiyu, Antony Mtaka ameyalaumu mashirika ya afya yaliyopo Mkoa wa Simuyu kwa kushindwa kutatua changamoto za afya kwa wananchi.
Lawama hizo alizitoa katika kikao cha wadau wa afya mkoani Simiyu kilichoshirikisha mashirika yote.
Alisema wingi wa mashirika hayo ni kiashiria cha kuwepo matatizo mengi ya afya mkoani Simiyu.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...

ISHU YA RASHFORD BADO PASUA KICHWA

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema bado haijafahamika kama Marcus Rashford atarudi klabuni hapo au atabaki...

BARCA YAPATA MRITHI WA LEWANDOWSKI

CATALUNYA, HispaniaKLABU ya Barcelona imeanza mipango ya kumsajili mshambuliaji wa kati wa Real Mallorca, Vedat Muriqi, ikiamini anatosha...

ARSENAL AKILI YOTE KWA MONGA

LONDON, UingerezaARSENAL ya Kaskazini mwa Jiji la London imeonesha nia ya kumsajili winga anayefanya vizuri Ligi Daraja la...