ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MADINI, STANSLAUS NYONGO, KAGERA

Date:

Share post:

ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MADINI, STANSLAUS NYONGO KATIKA MGODI WA HAMAD  MINE SCALE ULIOPO WILAYA YA KWERWA, MKOA WA KAGERA

Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo (mwenye Kaunda Suti-
mbele) na Ujumbe wake, baada ya kukagua mitambo inayotumika
kusaga mawe yenye Madini ya Bati (kulia) katika Mgodi wa Hamad
Mine Scale, uliopo eneo la Omukasheni, Wilaya ya Kyerwa, Mkoa
wa Kagera, Februari 28 mwaka huu, akiwa katika ziara ya kazi.


Naibu   Waziri   wa   Madini,  Stanslaus   Nyongo   (katikati),   akikagua

madini   ghafi   ya   Bati   (aliyoshika   mkononi)   na   kuzungumza   na
mmoja wa wamiliki wa mtambo wa kuchakata madini hayo, Hassan
Ibar   (kushoto),   alipotembelea   na   kuukagua   mtambo   huo
unaomilikiwa   na   Kampuni   ya   African   Top   Minerals,   wilayani
Kyerwa, Mkoa wa Kagera.


Mmoja wa wamiliki wa mtambo wa kuchenjua Madini ya Bati wa
TanzaPlus Minerals, Salim Mhando (kushoto), akimuonyesha Naibu
Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo (wa pili kutoka kushoto), moja
ya mashine zinazotumika   kuchakata madini   hayo. Naibu Waziri
alitembelea   na   kukagua   mtambo   huo   uliopo   Nyaluzumbulwa
wilayani Kyerwa, Mkoa wa Kagera


Madini ya Bati yaliyo ghafi.

Ujumbe wa Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo wakikagua
shimo linalochimbwa Madini ya Bati katika Mgodi wa Hamad Mine
Scale,   uliopo   eneo   la   Omukasheni,   Wilaya   ya   Kyerwa   mkoani
Kagera.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_img

Related articles

SOMA HIYO! ISRAEL NDIYO WAASISI WA MIKWAJU YA PENALTI

LONDON, Uingereza NI jioni ya Agosti 5, 1970 kwenye Uwanja wa Boothferry Park mjini Hull, Manchester United ikiwa ugenini...

AMEJIPATA! LAMPARD ALIVYOREJEA EPL AKIWEKA REKODI

LONDON, Uingereza IKIWA ni miezi 18 tu imepita tangu alipoajiriwa, Frank Lampard ameiwezesha Coventry City kupanda daraja na kurejea...

USICHUKULIE POA! PATORANKING ALIUZA SUMU YA PANYA MITAANI KABLA YA ‘KUTOBOA’

LAGOS, Nigeria WAHENGA walisema maisha ni safari yenye milima na mabonde. Kwamba katika kuishi kwako, si nyakati zote zitakuwa...

KIFO CHA BOSI KINAVYOITESA LEICESTER CITY

LONDON, UingerezaMIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliishangaza dunia walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya...