Home HABARI Habari Kitaifa Bandari ya Tanga sasa ina mambo mapya

Bandari ya Tanga sasa ina mambo mapya

0

Mabilioni ya fedha yaliyomwagwa na serikali kuiboresha kivifaa, mitambo na upanuzi wa magati, yameipa bandari ya Tanga, sura na uwezo mpya wa kibandari.

Tanzania Panorama imefika bandarini hapo kuangalia mwenendo wake wa sasa na kufanya mahojiano na Meneja wa Bandari hiyo, Masoud Athuman Mrisha ambaye anafafanua mambo mengi kuhusu bandari hii kongwe nchini

Mahojiano baina ya Tanzania Panorama na Meneja wa Bandari ya Tanga

NO COMMENTS

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Exit mobile version