Tuesday, September 2, 2025
spot_img

RAIS SAMIA AZURU KABURI LA NETO

RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana, April 8, 2025 alitembelea Makumbusho ya Rais wa kwanza na muasisi wa Taifa la Angola, Hayati António Agostinho Neto, katika eneo la Public Square, jijini Luanda, Angola.

Rais Dkt. Samia alipokelewa kwa heshima ya kijeshi katika eneo hilo la makumbusho  na kisha kuweka shada la maua katika mnara wa kumbukumbu wa Rais Neto.

Picha ya Hayati António Agostinho Neto, Rais wa Kwanza wa Angola.

Nyingine Zinazohusiana na Hii

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Tufuatilie

0FansLike
3,913FollowersFollow
0SubscribersSubscribe
- Advertisement -spot_img

Habari Nyingine Mpya