RAIS Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na wananchi waliosimama barabarani kwenye maeneo mbalimbali ikiwemo Ikwiriri na Kituo cha Mabasi Kibiti wakati wa ziara ya siku moja mkoani Pwani, ambapo alifungua rasmi Kiwanda cha Vioo kilichopo Mkuranga. (Picha zote kwa hisani ya Ikulu)
















