![]() |
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumza jana wakati akifungua kikao kazi cha siku tano cha maafisa hao kinachofanyikia mkoaniTanga. Kikao kicho kimeanza jana. |
![]() |
Mwenyekiti wa maafisa habari wa Serikali, Pascal Shelutete akizungumza jana wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha 17 cha maafisa habari wa Serikali kilichoanza jana mkoani Tanga. |
![]() |
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima akizungumza jana wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha 17 cha maafisa habari wa Serikali kinachofanyika kwa siku tano. Kikao hichoo kinachofanyikia mkoani Tanga. |