Saturday, May 17, 2025
spot_img

RAIS SAMIA AKUTANA NA BOSI WA UNESCO NCHINI UFARANSA

RAIS Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO . Aundrey Axoulay  alipotembelea Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris,  Ufaransa  jana. Rais Samia alikuwa nchini Ufaransa kwa ziara ya kikazi. (Picha kwa hisani ya mpiga picha wa Ikulu)

Rais Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili ofisi za UNESCO Makao Makuu, zilizopo Paris Ufaransa. (Picha ya kwa hisani ya mpiga picha wa Ikulu)

 


Nyingine Zinazohusiana na Hii

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Tufuatilie

0FansLike
3,913FollowersFollow
0SubscribersSubscribe
- Advertisement -spot_img

Habari Nyingine Mpya