Sunday, June 29, 2025
spot_img

MWANZA WATOA MKONO WA BURIANI KWA HAYATI RAIS DK JOHN MAGUFULI

 

Msafara wenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Magufuli ukitoka Uwanja wa Ndege wa Mwanza kuelekea Uwanja wa CCM Kirumba kwa ajili ya wananchi wa Mwanza kutoa heshima zao mwisho    

Wananchi wa Mkoa wa Mwanza wakipunga mkono wa buruani wakati msafara wenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Magufuli ukipitishwa kwa ajili ya kuagwa

Umati mkubwa wa wananchi wa Mkoa wa Mwanza ukipunga mkono wa buruani kwenye msafara wenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk John Magufuli

Wananchi wa Mkoa wa Mwanza wakitandaza matawi ya miti, khanga na vitenge barabarani, ishara ya kumuaga kwa heshima Hayati Rais Dk. John Magufuli

Nyingine Zinazohusiana na Hii

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Tufuatilie

0FansLike
3,913FollowersFollow
0SubscribersSubscribe
- Advertisement -spot_img

Habari Nyingine Mpya