![]() |
||
Viongozi wa serikali wakisubiri kuupokea mwili wa Hayati Rais Dk.John Pombe Magufuli, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar |
![]() |
Umati wa wananchi wa Zanzibar uliojitokeza barabarani kumuaga Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli wakati mwili wake ukipelekwa Uwanja wa Amani kwa ajili ya kuagwa |
![]() |
Viongozi wakisimama kutoa heshima wakati mwili wa Hayati Rais Dk. John Magufuli ukiingizwa Uwanja wa Amani |
![]() |
Wananchi wa Zanzibar wamejipanga barabarani kumuaga Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli |
![]() |
Wananchi wa Zanzibar wamejipanga barabarani kuuaga mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli |
![]() |
Wananchi wa Zanzibar wakipungui mikono gari maalumuu la jeshi lililobeba mwili ya Hayati Rais Dk John Magufuli kama ishara ya kumuaga |