Saturday, June 28, 2025
spot_img

MARAIS WA AFRIKA WALIVYOMUAGA HAYATI RAIS DK. MAGUFULI

 

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma


 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma


 

Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma


 

Rais wa Zambia, Edgar Lungu akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma

 



Janeth Magufuli, mjane wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli akilia kwa uchungu wakati akitoa heshima za mwisho kwenye Jeneza lenye mwili wa mume wake katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.


 

Janeth Magufuli, mjane wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli akilia kwa uchungu wakati akitoa heshima za mwisho kwenye Jeneza lenye mwili wa mume wake katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akitoa heshima za mwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma


 

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi, akitoa heshima za Mmwisho kwenye jeneza lenye mwili wa Hayati Rais Dk. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma

Nyingine Zinazohusiana na Hii

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Tufuatilie

0FansLike
3,913FollowersFollow
0SubscribersSubscribe
- Advertisement -spot_img

Habari Nyingine Mpya